Inaumiza sana wakati mwananchi akitumitumia muhamala kupitia simbanking ya airtel unakatwa shillingi 100.
Mara nyingi mtandao unaweza kugoma au umekosea lakini unapotaka kurudia makato ni shillingi 100 kila shughuli utakayofanya.
Naomba Serikali iliangalie suala hili na wananchi tunaumia sana kwa kila shughuli inayofanyika kutumia simbanking tunakatwa shillingi 100.
Mara nyingi mtandao unaweza kugoma au umekosea lakini unapotaka kurudia makato ni shillingi 100 kila shughuli utakayofanya.
Naomba Serikali iliangalie suala hili na wananchi tunaumia sana kwa kila shughuli inayofanyika kutumia simbanking tunakatwa shillingi 100.