Kwanini tunazaliwa masikini na kufa masikini?

All that happens to a person is the result of subconscious programming from childhood
 
Poverty is a vicious cycle, na moja ya sababu Ni maamuzi mabovu yanayofanywa waliokutangulia kiumri Mf wazazi, ndugu nk. Kama maamuzi yao hayakuwa na maono ya mbali ya kuweka misingi bora ya kuondokana na umaskini wa kipato, kizazi kkinachofuata kutoka kimaisha inakuwa ngumu. Sisemi haiwezekani Ila utakutana na vikwazo vingi ambavyo vinaweza kukukatisha tamaa. Decision utakayofanya wewe ujue haitakuathiri wewe tu bali unaweza kuathiri na vizazi vijavyo. mfano Baba alikuwa mlevi.
 
Mimi naamini Umasikini unaondoka ukizingatia mambo matatu kwa asilimia zote
1.Time
2.sucrifice
3.hardworking
Kwa kila shughuli zetu za kilasiku
Umesahau kitu kimoja tuuu ambacho wenzetu wachina wamevuka na kuwa na maendeleo. Mwaka 1978 waliweka sheria ya kuzaaa mtoto mmoja. Na Sera iyo ndio imeijenga China ya Leo, kwa sababu unavyokuwa na mtoto mmoja unakuwa na uwezo wa kufanya mambo mengi. Lakini unakuta MTU ana Mali kidogo sana lakini ana watoto wengi, iyo inapelekea kuwa na bajeti ndogo ya kuhudumu family.
Kumbuka family ni uwekezaji, sasa unazaaa mtoto uwezo wa kumtunza huna, inakuwa family ya kutegemea msaaada kutoka serikali na lawama nyingi kwamba serikali
 
GREAT ARTICLE, tho my swahili is not good being a kenyan i have not understood much but maybe i have gotten your point,as a person who was born and brought up in kenya, and now living in one of the richest countries in the world, i have came to understand that the enviroment in which you grow up in has a lot of influence on how you turn out in life.here in EU where i am kids start learning very early vital things, the schools are well equiped, teacher higly qualified, well paid, the kids go for holidays abroad, they see riches all over, so their minds get to THINK AND DREAM BIG, hence they get to do wonders.Lets take a case of tz, i know tz very well, in some villages no clean drinking water, no schools nearby, some schools you have teachers teaching 60 kids per teacher, teachers poorly paid, kids grow in poverty, hence tz remainds very very poor.But lets define what poverty is, poverty is not lack of RESOURCES, its lack of CREATIVITY AND INNOVATION.Tz is very blessed with lots of natural resources, but with a lot of UNEDUCATED people, tz remains poor.so in order to create wealthy and make people have wealth, we need to FIX our education system. hii mambo ya magufuli ya viwada ni porojo tu, utajenga aje viwanda when your citzens are ILLITERATE.
 
Well said, we must review our education system and priotise our needs. Rome wasn't built in a day. If we can't plan for the future nothing is going to change.
 

Mkuu, unachokiandika kinaleta mantiki, kwamba, hiyo ndiyo nidhamu ya "nature" kuwepo matajiri na masikini. Hii fikra yako ni ngumu sana kufikirika. Pengine kama hautojali tafsiri sahihi ya masikini ni ipi? Nauliza hivi kwa sababu nimeona miongoni mwa nukta zako zinaonesha wachini kumtumikia wa juu umetafsiri kama ni umasikini.

Umasikini nini? Nielimishe kama hautojali.
 
Ni kweli kabisa, umasikini au utajiri ni mtazamo wa mtu binafsi.
Mfano, mimi siamini kuwa na ukwasi wa mali kupindukia ndio utajiri!!
 
we were born rich,
kuwa Tajiri au maskini ni chaguzi za mtu
 
Jiibu la Mtu Kuzaliwa Maskini Na Akafa Maskini Ni Kwa Sababu Ya NATURAL SELECTION .
Ha ha ha ha mkuu nimecheka sana. Umeandika point kwa kiasi fulani lakini. Ukweli ni kwamba maisha ndiyo yanatuchagua na siyo sisi tunaochagua maisha.
 
Hizi ni porojo tu, umaskini ni kukosa "chakula, mavazi na malazi"; zaidi ya hapo ni porojo tu na mbwembwe zisizokuwa na msingi wowote. Tatizo lenu mnaleta siasa na porojo kwenye kila kitu.
 
Hakuna ambae angetaka kutumwa kila mtu anajitosheleza na mambo mengi yangefeli.

MUNGU kaweka hivi ili kuweka uzani hapa duniani.

Unaweza kuondoa umaskini na mambo yakaenda vizuri tu. Watu watafanya kazi kwa sababu tofauti, wanazipenda hizo kazi, wanaona wanachangia kwenye jamii, wengine wanafanya kazi ili kukutana na marafiki.

Nchi nyingi zilizoendelea mbona kama hufanyi kazi unalipwa pesa za matumizi pamoja na kulipiwa nyumba, umeme, maji, gas na kodi, Lakini watu wengi wanachagua kufanya kazi hata zile za chini kabisa.

Finland wanafanya utafiti wa kuchunguza ukimlipa kila mtu pesa kwenye nchi za kujikimu (Universal Basic Income) itakuwaje? Watu watatumiaje muda wao.

Mungu hajaweka umaskini, Mungu ametupa kila kitu, (akili, rasilimali) ni uwezo wetu mdogo wa kufikiri ndio unatufanya tuwe taifa maskini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…