Kwanini tusidai katiba kwanza, tukiipata ndio twende kuandamana Mbowe aachiwe huru?

Kwanini tusidai katiba kwanza, tukiipata ndio twende kuandamana Mbowe aachiwe huru?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Mimi kama mfuasi namba moja wa Chadema nalaani uonevu mkubwa wanaofanyiwa viongozi wangu na chama dharimu cha CCM, na njia pekee ya kupambana na hili ni kupata katiba mpya. Sio kupata katiba mpya tu bali tuipate mapema.

Nawashauri viongozi wangu wa chama, hasahasa Mnyika na Lissu waweke vipaumbele vyetu vizuri.
Kipaumbele namba moja kiwe kupata katiba mpya. Tupambane hata miaka 3 mfululizo bila kuchoka mpakaa katiba ipatikane, kisha tukimaliza hilo suala tugeukie suala la Mbowe kuhakikisha Mbowe anatoka.

Tusipofanya hivyo tutakuwa tunshinda mahakani kila siku mwisho wa siku 2025 inafika halafu hatuna katiba mpya tena, tunarudi tena kuanza upya 2026.

Maoni yaheshimiwe.
 
Mimi kama mfuasi namba moja wa Chadema nalaani uonevu mkubwa wanaofanyiwa viongozi wangu na chama dharimu cha CCM, na njia pekee ya kupambana na hili ni kupata katiba mpya. Sio kupata katiba mpya tu bali tuipate mapema.
Nawashauri viongozi wangu wa chama, hasahasa Mnyika na Lissu waweke vipaumbele vyetu vizuri.
Kipaumbele namba moja kiwe kupata katiba mpya. Tupambane hata miaka 3 mfululizo bila kuchoka mpakaa katiba ipatikane, kisha tukimaliza hilo suala tugeukie suala la Mbowe kuhakikisha Mbowe anatoka.
Tusipofanya hivyo tutakuwa tunshinda mahakani kila siku mwisho wa siku 2025 inafika halafu hatuna katiba mpya tena, tunarudi tena kuanza upya 2026.
Maoni yaheshimiwe.
Dogo sijui Mbowe amewakosea nini wewe na genge lako la mataga? Nakuhakikishia Mbowe atatoka na atakuwa nominated kwenye noble peace award na atakuwa TIMES person of the year. Nyerere na Mwamba watakuwa watanzania pekee kwenye iyo cover ya TIMES.

Mark my words!
Screenshot_20210806_232645.jpg
 
Mimi kama mfuasi namba moja wa Chadema nalaani uonevu mkubwa wanaofanyiwa viongozi wangu na chama dharimu cha CCM, na njia pekee ya kupambana na hili ni kupata katiba mpya. Sio kupata katiba mpya tu bali tuipate mapema.

Nawashauri viongozi wangu wa chama, hasahasa Mnyika na Lissu waweke vipaumbele vyetu vizuri.
Kipaumbele namba moja kiwe kupata katiba mpya. Tupambane hata miaka 3 mfululizo bila kuchoka mpakaa katiba ipatikane, kisha tukimaliza hilo suala tugeukie suala la Mbowe kuhakikisha Mbowe anatoka.

Tusipofanya hivyo tutakuwa tunshinda mahakani kila siku mwisho wa siku 2025 inafika halafu hatuna katiba mpya tena, tunarudi tena kuanza upya 2026.

Maoni yaheshimiwe.
Ya nn
 
Kufungwa kwa Mbowe sio kikomo cha dai la katiba mpya
 
Mimi kama mfuasi namba moja wa Chadema nalaani uonevu mkubwa wanaofanyiwa viongozi wangu na chama dharimu cha CCM, na njia pekee ya kupambana na hili ni kupata katiba mpya. Sio kupata katiba mpya tu bali tuipate mapema.

Nawashauri viongozi wangu wa chama, hasahasa Mnyika na Lissu waweke vipaumbele vyetu vizuri.
Kipaumbele namba moja kiwe kupata katiba mpya. Tupambane hata miaka 3 mfululizo bila kuchoka mpakaa katiba ipatikane, kisha tukimaliza hilo suala tugeukie suala la Mbowe kuhakikisha Mbowe anatoka.

Tusipofanya hivyo tutakuwa tunshinda mahakani kila siku mwisho wa siku 2025 inafika halafu hatuna katiba mpya tena, tunarudi tena kuanza upya 2026.

Maoni yaheshimiwe.
Upimwe mkojo. Yaani muda wote huo MBOWE awe anasota? Tutaua ndege wawili kwa jiwe moja
 
Dogo sijui Mbowe amewakosea nini wewe na genge lako la mataga? Nakuhakikishia Mbowe atatoka na atakuwa nominated kwenye noble peace award na atakuwa TIMES person of the year. Nyerere na Mwamba watakuwa watanzania pekee kwenye iyo cover ya TIMES.

Mark my words!
View attachment 1883359

halafu then what? hawi rais!!

mashoga bana

wenzako wanawaza wawe ma rais unawaza awekwe gazetini, kule katavi porini itawasaidia nini??
 
Mimi kama mfuasi namba moja wa Chadema nalaani uonevu mkubwa wanaofanyiwa viongozi wangu na chama dharimu cha CCM, na njia pekee ya kupambana na hili ni kupata katiba mpya. Sio kupata katiba mpya tu bali tuipate mapema.

Nawashauri viongozi wangu wa chama, hasahasa Mnyika na Lissu waweke vipaumbele vyetu vizuri.
Kipaumbele namba moja kiwe kupata katiba mpya. Tupambane hata miaka 3 mfululizo bila kuchoka mpakaa katiba ipatikane, kisha tukimaliza hilo suala tugeukie suala la Mbowe kuhakikisha Mbowe anatoka.

Tusipofanya hivyo tutakuwa tunshinda mahakani kila siku mwisho wa siku 2025 inafika halafu hatuna katiba mpya tena, tunarudi tena kuanza upya 2026.

Maoni yaheshimiwe.

Karibu duniani:

Mbowe: Kwanini atashikiliwa kwa Muda Mrefu
 
Back
Top Bottom