lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Kwanini kama taifa huru tusishindanishe mawazo yetu kuhusu usalama wa chanjo ya corona kama inafaa au haifai?
Kama tutaona chanjo ya corona inafaa kwa afya zetu iletwe nchini tuchanjwe.
Kama chanjo itakuwa haifai tuikatae chanjo kwa uwazi na kwa umoja wetu kama taifa moja la Kambarage.
Watanzania ni watu wapole sana.
Watanzania ni watu wakarimu sana wakipata muda wa kushindanisha mawazo yao kwa amani upendo na mshikamano tutafikia muafaka mzuri sana kuhusu chanjo ya corona.
Haya ni maoni yangu binafsi.
Mwenye maoni tofauti karibu uchangie maoni yako.
Kama tutaona chanjo ya corona inafaa kwa afya zetu iletwe nchini tuchanjwe.
Kama chanjo itakuwa haifai tuikatae chanjo kwa uwazi na kwa umoja wetu kama taifa moja la Kambarage.
Watanzania ni watu wapole sana.
Watanzania ni watu wakarimu sana wakipata muda wa kushindanisha mawazo yao kwa amani upendo na mshikamano tutafikia muafaka mzuri sana kuhusu chanjo ya corona.
Haya ni maoni yangu binafsi.
Mwenye maoni tofauti karibu uchangie maoni yako.