Kwanini tutoe sadaka na matoleo kanisani badala ya kuwalenga wahitaji moja kwa moja?

Gidabed

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2023
Posts
519
Reaction score
982
Wakuu natumai mko salama.

Kuna maswali nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara bila majibu.

~Hivi hizi sadaka tunazochangia kila jumapili na wakati mwingine katikati ya juma zinaendaga wapi? I mean zinamsaidia nani hasahasa,kwa sababu kama zinasaidia wahitaji, nani mwenye ushuhuda ambaye ameona hizo sadaka zikisaidia wahitaji.
 
Zinaenda kwenye uendeshaji wa kanisa na kuwalipa posho watumishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…