kweli jina hilo linkufaa,hukokose kujiita jina hilo,na unanifanya niamini kuwa ndivyo ulivyoMods peleka hii kwenye ukumbi wa 'Pumba na Vichekesho'
kweli jina hilo linkufaa,hukokose kujiita jina hilo,na unanifanya niamini kuwa ndivyo ulivyo
Tanzania ni nchi yenye ubaguzi wa kidini. Kuna watu(viongozi), waandishi wa habari, hawapendi kuona nchi ya Kiislamu inaingia ushirikiano na Tanzania. Wakiona jina tu Iran, UAE, au Saudi Arabia au jumuia ya OIC wanaanza kuandika habari za negative haraka haraka kwenye blogu or newspaper. Lakini kama kuna habari za Vatican, Papa Paul, au Western countries hawasemi kitu, ila wanashabikia tu. Kubaguana kidini hakufai, mambo ya uadui wa kidini hayataisadia TZ.
Waislam! Kaaaazi kweli kweli, OIC wao, IRAN wao, GAZA wao, HAMAS wao, KADHI wao, DINI wao, RAIS dini yao, MAKAMU WAKE dini yao, CUF yakwao, PEMBA yakwao, UNGUJA yakwao, KUANDAMANA wao, KULALAMIKA wao. WHAT DO THESE PEOPLE WANTS? KUNYONYA DAMU YA WAKRISTO? WHAT IS IT IN ISLAM?
Kama kuna watu mabingwa wa kulalamika nakugoma, basi hawa Muhammadans ni nambari wani.
Tanzania ni nchi yenye ubaguzi wa kidini. Kuna watu(viongozi), waandishi wa habari, hawapendi kuona nchi ya Kiislamu inaingia ushirikiano na Tanzania. Wakiona jina tu Iran, UAE, au Saudi Arabia au jumuia ya OIC wanaanza kuandika habari za negative haraka haraka kwenye blogu or newspaper. Lakini kama kuna habari za Vatican, Papa Paul, au Western countries hawasemi kitu, ila wanashabikia tu. Kubaguana kidini hakufai, mambo ya uadui wa kidini hayataisadia TZ.[/QUOT
Tanzania ni rafiki wa karibu sana wa Algeria. Hujasikia mtu akilalamikia hilo. Tuko karibu na Misri vile vile, na hakuna malalamiko.
Hatuna matatizo kuwa karibu na nchi za Kiislamu. Tuna tatizo na nchi zinazokandamiza raia wake kwa kuweka sheria ya kuua wale wanaoamua kubadili dini toka Uislamu kuingia Ukristo. Iran na Saud Arabia zina sheria kama hizo.
Ingetokea nchi ya Kikristu ikaweka sheria ya kuua raia wanaobadili Ukristu na kuingia Uislamu, tungeikataa vile vile. We are men and women of principle.
Nadhani jibu la Augustine Moshi linakutosha vinginevyo una agenda ya siri na hizo nchi ulizozitaja. HAlafu ni vema ujiulize kuhusu hizo nchi ulizozitaja; kwa nini hizo na si Misri na Algeria. Hujui malengo ya Irankwa Tanzania? KAma hujui tafiti; hujui msimamo wa Iran kwa baadhi ya nchi rafiki? Msikize Rais Ahmednajad utajua.
Tanzania ni rafiki wa karibu sana wa Algeria. Hujasikia mtu akilalamikia hilo. Tuko karibu na Misri vile vile, na hakuna malalamiko.
Hatuna matatizo kuwa karibu na nchi za Kiislamu. Tuna tatizo na nchi zinazokandamiza raia wake kwa kuweka sheria ya kuua wale wanaoamua kubadili dini toka Uislamu kuingia Ukristo. Iran na Saud Arabia zina sheria kama hizo.
Ingetokea nchi ya Kikristu ikaweka sheria ya kuua raia wanaobadili Ukristu na kuingia Uislamu, tungeikataa vile vile. We are men and women of principle.
Tanzania ni nchi yenye ubaguzi wa kidini. Kuna watu(viongozi), waandishi wa habari, hawapendi kuona nchi ya Kiislamu inaingia ushirikiano na Tanzania. Wakiona jina tu Iran, UAE, au Saudi Arabia au jumuia ya OIC wanaanza kuandika habari za negative haraka haraka kwenye blogu or newspaper. Lakini kama kuna habari za Vatican, Papa Paul, au Western countries hawasemi kitu, ila wanashabikia tu. Kubaguana kidini hakufai, mambo ya uadui wa kidini hayataisadia TZ.