Miminawewe1963
Member
- Sep 11, 2021
- 10
- 5
Kila kukicha utasikia mikasa ya ubakaji na unyanyasaji. Hivi kwanini ufikie hatua ya kubaka? Una ugonjwa wa akili au unatumia bangi? Wanawake wamejaa na wametuzidi hata kwa idadi kwanini usiombe vizuri ukinyimwa tafuta mwingine.
Wengine wanafikia hatuna ya kubaka watoto wadogo au vizee, hii ni dalili tosha kuwa unatumia bangi!
Wengine wanafikia hatuna ya kubaka watoto wadogo au vizee, hii ni dalili tosha kuwa unatumia bangi!