Uroho wa madaraka,Ubakaji,wizi,ushoga,usagaji,uzinzi,Rushwa,Dhulma na hayo mengine Hata uweke sheria gani Maadam ni binadamu watafanya tu iwe kwa siri au kwa dhahiri ni vitu ambavyo vilikwepo na vitakwepo ndio maana sheria ziliwekwa na Muumba kwa kujua hizo ni tabia za binadamu..........huo ni Mtazamo wangu.