Kwanini uchaguzi mkuu wa vyama vingi Tanganyika ulifanyika mwaka 1958 na kurudiwa tena mwaka 1960?

Kwanini uchaguzi mkuu wa vyama vingi Tanganyika ulifanyika mwaka 1958 na kurudiwa tena mwaka 1960?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Wadau wa historia ya Tanganyika mnisaidie.
Mwaka 1958 uchaguzi ulifanyika Tanganyika na TANU kupata viti 29 kati ya 30 huku kiti kimoja cha ubunge yani Legislative Council kikichukuliwa na UTP.

Mwaka 1960 uchaguzi ulifanyika tena na kipindi hiki viti vya bunge ni 71 ambapo TANU ilinyakua viti 70.

Sasa swali ni hili: kwanini uchaguzi ulifanyika tena ndani ya muda mfupi?
 
Tunapoambiwa vyama vingi vilianza mwaka 1992, ndio tunadanganywa?
 
Kuna ugumu walikutana nao, ndiyo maana walikuja kuvifuta. Ndicho kinachotaka kujirudia, zidumu fikra za mwenyekiti.
 
Tunapoambiwa vyama vingi vilianza mwaka 1992, ndio tunadanganywa?
Baaada ya kupata tuu uhuru mwaka 1961 Tanganyika ilikua na vyama vikuu vinne(TANU, UTP, ANC, AMNUT) vyama hivi vilidumu hadi mwaka 1965..ikapitishwa sheria na mwl. Nyerere ya kuvifuta vyama vyote na kubakia na TANU pekee. Mwaka 1977 TANU (Bara ) ikaungana na ASP(Visiwani) na kuunda CCM. Mnamo mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi ulirudishwa tena kwa mara ya pili.
 
Back
Top Bottom