Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Wadau wa historia ya Tanganyika mnisaidie.
Mwaka 1958 uchaguzi ulifanyika Tanganyika na TANU kupata viti 29 kati ya 30 huku kiti kimoja cha ubunge yani Legislative Council kikichukuliwa na UTP.
Mwaka 1960 uchaguzi ulifanyika tena na kipindi hiki viti vya bunge ni 71 ambapo TANU ilinyakua viti 70.
Sasa swali ni hili: kwanini uchaguzi ulifanyika tena ndani ya muda mfupi?
Mwaka 1958 uchaguzi ulifanyika Tanganyika na TANU kupata viti 29 kati ya 30 huku kiti kimoja cha ubunge yani Legislative Council kikichukuliwa na UTP.
Mwaka 1960 uchaguzi ulifanyika tena na kipindi hiki viti vya bunge ni 71 ambapo TANU ilinyakua viti 70.
Sasa swali ni hili: kwanini uchaguzi ulifanyika tena ndani ya muda mfupi?