Pre GE2025 Kwanini Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Usihusishe na Diwani?

Pre GE2025 Kwanini Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Usihusishe na Diwani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Diwani ni Kiongozi wa ngazi ya Serikali za Mitaa,iweje awe sehemu ya Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge ambao wanawakilisha ngazi ya Taifa?

Madiwani ni kama Wabunge wa ngazi za Mamlaka ya Serikali za Mitaa ,sasa iwaje tuwe tunawacuagua uchaguzi Mkuu.

Binafsi Huwa siwajua wagombea udiwani Kwa ngazi ya kata na Huwa nime concentrate Kwa Rais na Wabunge.

Pia kura 3 ni burden kwa.mpiga kura ,kura 2 zinatosha Kwa Kila uchaguzi.
 
Tanzania nchi ya hovyo sana, utitiri wa viongozi ni mkubwa sanaa. Yaani bureaucracy kubwaaaa
 
Tanzania nchi ya hovyo sana, utitiri wa viongozi ni mkubwa sanaa. Yaani bureaucracy kubwaaaa
Hapo hapo Bado Chadema wanasemaje tuwe na Utawala wa Majimbo ambapo kutakuwa na Kiongozi wa Jimbo wa kuchagua,atakuwa na Bunge lake na kutakuwa na Bunge la Muungano na Seneti
 
Diwani ni Kiongozi wa ngazi ya Serikali za Mitaa,iweje awe sehemu ya Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge ambao wanawakilisha ngazi ya Taifa?

Madiwani ni kama Wabunge wa ngazi za Mamlaka ya Serikali za Mitaa ,sasa iwaje tuwe tunawacuagua uchaguzi Mkuu.

Binafsi Huwa siwajua wagombea udiwani Kwa ngazi ya kata na Huwa nime concentrate Kwa Rais na Wabunge.

Pia kura 3 ni burden kwa.mpiga kura ,kura 2 zinatosha Kwa Kila uchaguzi.
Mipango ya ccm kujiimarisha!
 
Back
Top Bottom