Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hayo mambo yapo kitambo hicho ila mitandaoni ndio kunasambaza taarifa mno.Ukatili wa jinsia umekuwepo siku zote ila mitandao ya kijamii wakati huu inasambaza taarifa kwa haraka sana na kwa watu wengi.
Kuongezeka kwa matukio ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia kunaweza kusababishwa na sababu mbalimbali, ikiwemo ongezeko la uelewa na ripoti za matukio hayo, mabadiliko ya kijamii na kiuchumi, na mifumo ya kihistoria ambayo inaendeleza ukandamizaji wa kijinsia. Pia, mabadiliko katika maadili ya jamii, matumizi mabaya ya teknolojia, na ukosefu wa elimu kuhusu haki za binadamu na usawa wa kijinsia vinaweza kuchangia tatizo hili.Habari mdau wa jamvi hivi unafikiri ni kwann matukio ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia yameongezeka sana kwa sasa
Je ni hatua gani stahiki zinapaswa kuchukuliwa kutatua janga hili