chumanile
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 296
- 328
Natumai tuko salama,baada ya kuishinda cvd19.
Huu usemi wa "masikini akipata matako hulia bwanda". Sijui unamaanisha nini?mtanifahamisha wahenga.
Ila ninachojua mimi, mtu baada ya kuishiwa pesa mipango inakuwa mingi. Tena anajua mpaka dili la buku kumi akipata afanyie nini ili siku zisonge mbele.
Hapa napata maswali mengi ya kujiuliza.
Hivi ni kweli shibe mwana malevya na njaa mwana malegeza. Iweje ukiwa na pesa unajifanya hamnazo?
Hivi mipango hiyo unayoipanga ukiwa hauna pesa, usiipange ukiwa umezishika na kuzielekezaa huko? Au ulijiona wewe umepata pesa kwa akili yako ya darasani?
Hivi leo utoe mawazo kwa wenzako wakati wewe ndiyo ungekuwa mfano kipindi una pesa ili sisi tuige kutoka kwako?
NIKUPE ELIMU.
Kufanikiwa hakuhitaji elemu
Kufanikiwa hakuna ujuaji
Kufanikiwa si kwa unjaunja.
Kufanikiwa ni neema na baraka kutoka kwa M/Mungu.
Jifunze ukiwa na pesa kupokea mawazo mapya na kuzielekeza fyucha.
Huu usemi wa "masikini akipata matako hulia bwanda". Sijui unamaanisha nini?mtanifahamisha wahenga.
Ila ninachojua mimi, mtu baada ya kuishiwa pesa mipango inakuwa mingi. Tena anajua mpaka dili la buku kumi akipata afanyie nini ili siku zisonge mbele.
Hapa napata maswali mengi ya kujiuliza.
Hivi ni kweli shibe mwana malevya na njaa mwana malegeza. Iweje ukiwa na pesa unajifanya hamnazo?
Hivi mipango hiyo unayoipanga ukiwa hauna pesa, usiipange ukiwa umezishika na kuzielekezaa huko? Au ulijiona wewe umepata pesa kwa akili yako ya darasani?
Hivi leo utoe mawazo kwa wenzako wakati wewe ndiyo ungekuwa mfano kipindi una pesa ili sisi tuige kutoka kwako?
NIKUPE ELIMU.
Kufanikiwa hakuhitaji elemu
Kufanikiwa hakuna ujuaji
Kufanikiwa si kwa unjaunja.
Kufanikiwa ni neema na baraka kutoka kwa M/Mungu.
Jifunze ukiwa na pesa kupokea mawazo mapya na kuzielekeza fyucha.