Hiyo siku ya mwisho Mungu atakua bize sana, maana kati ya hawa wafuasi wa Yesu na wa Muhammad kuna kundi moja litaingia motoni.
Halafu kundi moja lililobaki litaanza kuchambuliwa ili wapatikane wale waadilifu wa kuingia peponi.
Wale wasiofungamana na upande wowote tayari wana tiketi yao ya motoni
Sent from my SM-A105F using
JamiiForums mobile app