sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nilipanga geto lakini sikulala karibu wiki toka nilipie kodi, kipindi nimemaliza form 4 tayari nilikuwaga najua kunyoa maana likizo za nyuma nilikuwa nashinda sana kwa mjomba alikuwa kinyozi basi hata shuleni mimi nilikuwa kinyozi wa shule. nilipomaliza four nikiwa nasubiri form 5 niliweza kupata kakibanda kangu.
Siku niliyoamua sasa naaga nyumbani naenda kulala kwangu walishangaa naenda kupanga mbona hawajaona vitu ambavyo labda nilikuwa navyo pale home niki nunua labda kidogo kidogo, niliwaambia sihitaji mambo mengi cha muhimu mwenye ujuzi hafi na njaa,
Niliweza kununua godoro, shuka, pazia, ndoo mbili, ufagio, debe la unga, debe la mchele, kindoo cha dagaa na jiko...
Siku ya kwanza kuamka geto langu nilijiona mpya naamka asubuhi kama nipo peponi nipo huru ingawa upweke mwingi unajua ukikaa na familia inakua umezoea basi ukihama kuna kaugonjwa.
Siku niliyoamua sasa naaga nyumbani naenda kulala kwangu walishangaa naenda kupanga mbona hawajaona vitu ambavyo labda nilikuwa navyo pale home niki nunua labda kidogo kidogo, niliwaambia sihitaji mambo mengi cha muhimu mwenye ujuzi hafi na njaa,
Niliweza kununua godoro, shuka, pazia, ndoo mbili, ufagio, debe la unga, debe la mchele, kindoo cha dagaa na jiko...
Siku ya kwanza kuamka geto langu nilijiona mpya naamka asubuhi kama nipo peponi nipo huru ingawa upweke mwingi unajua ukikaa na familia inakua umezoea basi ukihama kuna kaugonjwa.