Kwanini umechelewa kununua Tecno Camon 30s Pro?

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐—ž๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐˜‚๐—ป๐˜‚๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐—ฐ๐—ป๐—ผ ๐—–๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐—ป ๐Ÿฏ๐Ÿฌ๐˜€ ๐—ฃ๐—ฟ๐—ผ



Moja kati ya simu nzuri kutumia mid range smartphone ni Tecno camon 30s Pro hii simu kama wewe ni mfanyabiashara au content creator unaweza kuichuka ina kila sifa ya kuitwa simu sio mchezo.

Sio hivyo tu mpaka watumiaji wa photographer , wapenda games, wale wazee wa multitasking hii simu ni yako maana muundo wake ni ultra premium material aiseeh ngoja nikupe siri ya hii simu.



Techno Camon 30s Pro specifications zake sasa;
๐Ÿ’จ Display yake ni 6.78inches AMOLED 1B colors + 120Hz + 1300units
๐Ÿ”† Processor yake MediaTek helio G100
๐Ÿ’จ Android version 14 unapata upgrade ya miaka 2 update
๐Ÿ’จ Internal storage yake ni 256Gb + 16GB Ram
๐Ÿ’จ Kamera ya nyuma 50mp + 2mp Auxiliary lens
๐Ÿ’จ Kamera ya Mbele ni 50mp AF
๐Ÿ’จ Battery 5000mah + 45wired + 25Wireless



โš™๏ธ Kwa ufupi tu kuhusu hii simu
๐Ÿ’ญ Fingerprint yake iko mbele ta skrini ya kioo chako iko very fast kwenye kutoa lock ya simu ukigusa tu inatoa lock bila kutumia nguvu. Kioo chake ni Amoled Display yenye kutoa picha nzuri na bora pamoja na ufanisi wakati unatumia bila kuwa nzito.



๐Ÿ’ญ Kamera yake inatoa picha kali kupitia mfumo wa Ois Optical images stabilization yenye kukufanya ujisikie fahari unapopiga picha au kuchukua video kwenye mazingira yoyote yale unajiamini. Bila kusahau kwenye self kuna autofocus ya Eyes popote unaposogeza jicho lako vaai kamera inageuka yenyewe bila kuiambia.

๐Ÿ’ญ Ina teknolojia ya AI eraser yenye kuondoa kitu usichokitaka kwenye picha uliyopiga bila kuathili picha yako. Speaker zake ni Dolby Atmos yenye kutoa mdundo mkali balaa wakati unasikiliza audio au kutazama video unaweza sema umefunga home theater.

๐Ÿ’ญ Betri lake ni super maana unaweza chaji simu toka asilimia 0 - 100 ndani ya dakika 45 tu ikiwa na wireless chaji unaweza share chaji na simu nyingine za android ikiwa rafiki yako anahitaji humsaidie kidogo chaji.

๐Ÿ’ญ Ina IP53 waterproof unaweza piga simu na kuongea ukiwa chini ya maji au unaoga au sehemu yenye vumbi bila kuathili simu yako. Utacheza game yoyote, kutengeneza makala zako za mtandaoni au kuchukua video bila simu kupata joto yani we safi tu.

๐Ÿ’ญ Ina teknolojia ya infrared remote control unaweza ku control nyumba yako hata ukiwa mbali my home kuanzia Tv, taa za ndani , Geti au mlango wako bila kugusa.

Unasubiria nini โœ๏ธ tembelea @tecnomobiletz sasa ujipatie simu yako.
 
Imesmama vp mkuu
 
Acha kuongea theory niwekee picha ulizopiga na hii simu
 
My :REDMI NOTE 10 PRO
Ultra Premium. Inatosha mambo ya infinix sijui Tecno, sitakiwi hata kujaribu.

Xiaomi ikinichosha nahamia SAMSUNG flagship phone. Karibu huku mkuu upunguze mawazo๐Ÿค—
 
Tatizo la hiyo simu ni Mediatek chipset ๐Ÿค”๐Ÿค”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ