simu ndo zimeficha tabia halisi the same aplies to fake ID..kitu gani kimekufanya utumie ID feki,na usitumie jina lako halisi????
Hebu tuanze na ww?..kitu gani kimekufanya utumie ID feki,na usitumie jina lako halisi????
Tuanze na wewe kwanza why??????Me Natumia Jina Langu Halisi...So, Me Na Ww, Ww Ndio Umeficha Jina!!!