Kwanini Umeficha Jina Lako Halisi??

KANYELA MUMO umenichekesha xn xn nimekumbka bibi alikuwa anapenda xn kuninunulia hayo makanyela mumo afu nilkuwa siyapendi ,,additionally we MNYIRAMBA NAFIKIRI .
 
Habari wakuu, imekuwa jambo la kawaida kwa members wa JamiiForums kutumia majina fulani fulani hivi ambayo ni unique na tofauti kabisa na majina halisi ya wahusika.

Of course sababu kubwa ni ishu ya privacy na confidentiality ya members japokuwa sio wote wanatumia fake IDs.

Je, ni sababu zipi zilizokupelekea uamue kuchagua hilo jina kama your user ID: Kwanini uliamua kujiita pakashume, au bulicheka, au spanamalaya n.k n.k n.k.

Binafsi niliamua kujiita Orangutan kwasababu nawakubali sana hawa masokwe na ofkoz kwa namna fulani naona binadamu tunashabihiana kitabia na hawa ma-chimps (After all we are all homos: homosapiens, homohabilis, homoerectus n.k n.k). Well, vipi kuhusu ID YAKO?
 
Hujui maana ya secret?? Au ulitaka tujiweke wazi kama ya mbuzi??
 
Aisehh mimi napenda funguka sana sasa kuna siku washikaji wangu walinasa wakarusha link kwa whatsapp nilijuta tena sasa napanga nibadili id tena maana wananiandama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…