Kwanini umoja wa mataifa hutumia alama hii katika nembo zao?

Kwanini umoja wa mataifa hutumia alama hii katika nembo zao?

Malpighian

Senior Member
Joined
Jan 16, 2015
Posts
139
Reaction score
219
Salaam wana JF.

Katika uandaaji wa nembo ambazo hutumika katika mashirika,taasisi na makampuni mbali mbali, kunakuwa na uhusiano fulani kati ya hiyo nembo na shughuli husika za kampuni,shirika au taasisi hiyo.
Mfano katika nembo ya hospitali ya muhimbili,na chuo cha muhimbili kuna kama nyoka (inasemekana ni mnyoo) umejiviringisha katika fimbo ambapo kuna sababu ya wao kutumia alama hiyo.
Lengo la Uzi huu ni kutaka kujua alama ya masuke inayotumiwa na umoja wa mataifa katika nembo zake huwa inamaanisha nini?

Hizi ni baadhi ya nembo za umoja wa mataifa na zile za muhimbili.
images.jpeg
tRI2DHcwca2rlQqrtxFVLZZDb960D37Klvsa-LC20jVaVw3B12ATY0ZJVEASk5SCaV8fmuv1VNA7EipYXPN3keMOogLsb...jpeg
Ok020fkJGuYRp666DmqzHcVheswFvXJW3VKJgAEp2bJh1N3umf6aclxu0sxNvBxfxQUGzdN4PudPXRwa6tWFhrTCeDTuK...jpeg
images(2).jpeg
images(1).jpeg
 
Huyo nyoka anawakilisha sanaa ya matibabu na kuponya inaaminika kua Mungu wa matibabu aliekua anaitwa Asclepius katika moja ya ma sinagogi yake alokua anatumia kuyatibu nyoka walikua wanazunguka wanawazunguka wagonjwa waliolala bila kuwadhuru
 
Huyo nyoka anawakilisha sanaa ya matibabu na kuponya inaaminika kua Mungu wa matibabu aliekua anaitwa Asclepius katika moja ya ma sinagogi yake alokua anatumia kuyatibu nyoka walikua wanazunguka wanawazunguka wagonjwa waliolala bila kuwadhuru
Aiseee
 
Yaani nyoka kabisa anaonekana alaf wanatuambia mnyoo, wanatufanya hatuna macho siyo. Kuna hili lingine la kuvaa misalaba sana sana hii kwa wasanii na waigizaji, yaani misalaba imekua fashion apa ata sielewi imekaaje.
 
Yaani nyoka kabisa anaonekana alaf wanatuambia mnyoo, wanatufanya hatuna macho siyo. Kuna hili lingine la kuvaa misalaba sana sana hii kwa wasanii na waigizaji, yaani misalaba imekua fashion apa ata sielewi imekaaje.
Hyo misalaba ni sawa na Christmas tu, inahusishwa na Yesu ila imefananishwa tu ikiwa na milengo na maana tofauti, kuna unalojua hulijui kujua haujui.
 
Hyo misalaba ni sawa na Christmas tu, inahusishwa na Yesu ila imefananishwa tu ikiwa na milengo na maana tofauti, kuna unalojua hulijui kujua haujui.
Labda lakini embu elezea hiyo maana tofauti. Tusipo fahamishwa tutajuaje sasa hiyo tofauti alaf isitoshe jamii imewachukilia kama kioo sasa mambo ya misalaba mwengine kajichora tatu ya misalaba. Mkuu funguka.
 
Labda lakini embu elezea hiyo maana tofauti. Tusipo fahamishwa tutajuaje sasa hiyo tofauti alaf isitoshe jamii imewachukilia kama kioo sasa mambo ya misalaba mwengine kajichora tatu ya misalaba. Mkuu funguka.
Unajua msalaba unamaanisha kujiongeza au kuongeza pia unasimama kuiwakilisha herufi t ikimaanisha Tammuz mtoto wa jua aliyezaliwa 25/12 kwahyo kuna cheusi chekundu wanatuchezea, ila Yesu alisema wakweli mtawatambua kwa Matendo.
 
Alama nyingi katika nembo hasa zingine ziliambatana na mtizamo wa mbunifu wa alama husika. Hivyo siyo lazima zikidhi matakwa ya wewe unaeitizama ala hii leo. Ikiwa utaitafsiri mwenyewe ukihusianisha na mtizamo wako basi utajikuta unaibuka na mjibu ya freemason mara hiki na kile. Msingi ni huduma zitolewazo na hiyo organization je inakidhi mahitaji ya jamii? Full stop.
 
Back
Top Bottom