Mahali pangu pakulopka na wasinitambue,alafu natajilika kiakili,kiroho,na kikifikra. Idumu jfBinafsi ndo sehemu maalumu yakujua IQ za watanzania,ndo sehemu maalumu yakujua umbea wa serikalini,michezo na burudani,sehemu ya kujifunza majibu ovyo na chaya.
Ndo sehemu ya kujifunza Tanzania ni nchi ya aina
Ndio chombo changu cha habari kabla sijaenda buguruni kujumua bidhaa za gengeni lazima nifungue nini kimejili hata kama sina data.
WEWE JE?
Asante jf.
Binafsi ndo sehemu maalumu yakujua IQ za watanzania,ndo sehemu maalumu yakujua umbea wa serikalini,michezo na burudani,sehemu ya kujifunza majibu ovyo na chaya.
Ndo sehemu ya kujifunza Tanzania ni nchi ya aina
Ndio chombo changu cha habari kabla sijaenda buguruni kujumua bidhaa za gengeni lazima nifungue nini kimejili hata kama sina data.
WEWE JE?
Asante jf.
- Ni darasa tosha hasa kwa Knowledge Seeker kama Mimi na Wachache wenzangu tunaojitambua.
- Ni mahala panapotusaidia kupunguza machungu ya kunyimwa Mbunye / Mikuyenge na Wapenzi wetu.
- Ni sehemu Kuu ya kupata Habari isiyo ya Kupepesa, Kutikisa wala Kumung'unya.
- Ni uwanja tosha wa kujua Saikolojia ya Watanzania kwa Kipindi hiki imelalia wapi na uipeleke wapi.
- Ni mahala ambapo panawakilisha hisia za Mamilioni ya Watanzania zilizo hasi au chanya.
- Ni sehemu sahihi kabisa ya Kujifunzia kuhimili changamoto za matusi na Kukukomaza Kiubishi na Kiakili.
- Ni mahala pazuri sana kwa Kuwajua MAPOPOMA na VIPANGA hata kutokana na michango yao tofauti tofauti.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]JF ni pahala pa kila kitu: elimu nzuri tu, umbea, uchawi, urafiki, unafiki, ushoga, vichekesho, mtongozano, kuropoka (japo si sana, kuna bani), mapishi, kupata wake/waume, kufanya biashara, kwa ujumla JF ni rafiki kutegemea una mapenzi gani naye. Baada ya kuchoka na mihangaiko ya hapa na pale, wakati wa kujipumzisha pumzika na JF.