Jamani wadau katika pita pita zangu nilijikuta katika mjadala mkali kuhusu kifo, Mjadala ulikua hivi:
1. Je watu wanahofia kufa kwa sababu ya uoga wa kutojua mbele kuna nini? (motoni na peponi) au
2. Watu wanaogopa kufa kutokana na maisha anayoacha ( familia,marafiki)
Sasa wadau naomba michango yenu kwa mtazamo wako au nafsi yako unaona kwanini mtu anaogopa kufa...???
N:B Majibu ya mjadala huu ya siingiliane na imani za dini ila mitazamo huru ya kibinadamu!!
1. Je watu wanahofia kufa kwa sababu ya uoga wa kutojua mbele kuna nini? (motoni na peponi) au
2. Watu wanaogopa kufa kutokana na maisha anayoacha ( familia,marafiki)
Sasa wadau naomba michango yenu kwa mtazamo wako au nafsi yako unaona kwanini mtu anaogopa kufa...???
N:B Majibu ya mjadala huu ya siingiliane na imani za dini ila mitazamo huru ya kibinadamu!!