Hii imetulia sana!Sio kweli ndoa umeielewa vibaya, dhumuni sio kupata watoto, watoto ni baraka kutoka kwa Mungu. Dhumuni la ndoa ni kujipatia msaidizi na kuwepo watoto au wasiwepo ni sawa tu. Adam aliumbiwa msaidizi ila Mungu aliwaagiza wazae waongezeke wakaijaze nchi. Kuzaa ni sehemu ya uumbaji ya Mungu mwenyewe kupitia mwanadamu.
Jamani fanya japo hata sita si umesikia tunahitaji rasirimali watu?Binafsi naona watoto wana umuhimu sana kwangu,
Na namwomba mungu siku moja anipatie japo wawili,
Maisha yangu naamini hayatakamilika bila kuwa na watoto km wazazi wangu walivyonileta duniani,
Haka km itashindikana kuwa na wangu wa damu yangu basi nitaadapti na kutimiza lengo langu la kuwa na mtoto.
Kabla ya kumuuliza haya ungemchapa kofi moja la kumeka sawa,Mimi nimewahi kukutana nae tena anasema kabisa amejaribu sana
kuitoa ile mimba ikashindikana.
Mungu akinipa uwezo wa kuwalea vizuri nitaongeza.Jamani fanya japo hata sita si umesikia tunahitaji rasirimali watu?
wanaotuhimiza tupungue wenyewe wako wengi.
Mimi nimewahi kukutana nae tena anasema kabisa amejaribu sana
kuitoa ile mimba ikashindikana.
Natafuta watoto si kwa sababu wanisaidie, wala si wawe mapambo ya nyumba. Natafuta watoto kwa sababu watoto niliowazaa mwenyewe ni extension ya nafsi yangu. Watoto wangu ni 'sehemu' ya mimi inayoishi ndani mwao. Hili linaniletea faraja kubwa sana na furaha isiyo na kifani; kwani ninapowaona wakitembea, wakicheka na kufurahi najiona mwenyewe. Ni kama nimezaliwa upya. Ni mimi huyu, ndani mwao, japo wao ni nafsi tofauti na mimi, ni watu huru na kamili. Lakini wapo kwa sababu mimi (nikishirikiana na Mungu) na mama yao ndiyo sababu ya uwepo wao. Ni furaha iliyoje? Nani atajinyima furaha hiyo ya kuwa na watoto? Ndiyo maana wakikosekana katika ndoa basi wanandoa tunakuwa kama tumekufa vile japo bado tunaishi.Ni kweli wapo ambao wamepata watoto kwa bahati mbaya, wengine walijaribu
hata kutoa mimba ikashindikana. Ninaowakusudia hapa ni wale ambao wamedhamiria
kupata hao watoto. Tena wengine wamethubutu hata kwenda kwa waganga.
Wako ambao wanasema wanataka watoto ili wawasaidie hapo baadae.
Nataka kujua kutoka kwenu kwanini unahitaji mtoto/watoto mpaka kufikia kukosa
furaha ndani ya mahusiano na mwenza wako?
Unataka akusaidie?
Ni pambo la nyumba?
Kwanini mtoto?
Kwa ninavyojua Dhumuni kubwa la ndoa ni watoto. Lakini ikitokea bahati mbaya wasipopatikana isiwe sababu ya kuvunjika kwa ndoa.