Kwanini USA baby Nyani Ngabu anaandamwa sana humu?

Kwanini USA baby Nyani Ngabu anaandamwa sana humu?

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,

Kwanini watu kama hance mtanashatI wanamwandama mzee wa kutema yai ngosha wa USA Nyani Ngabu kipi kina sukuma watu kama swissme na genge lake kumwandama sana mzee kutema yai Ngosha Ngabu.

Kwanini yeye tu ndo anaandamwa wala sio wengine?
 
Hahahaaaaa.... Ngoja nipiteeee... Naona mkuu unaandaa uwanja wa mapambano... Ngoja nifate bisi...
 
nameles girl kwanini huyu kijana mdogo wa miaka 27 anaandamwa sana humu nini kinapelekea hivyo au kwa sababu anatema sana yai nini
 
nameles girl kwanini huyu kijana mdogo wa miaka 27 anaandamwa sana humu nini kinapelekea hivyo au kwa sababu anatema sana yai nini
 
Ni wivu na chuki zisizokua na maana tu,

Humu zilikua zinashuka thd za kutuponda wabeba box kila siku ila siku hizi naona vyuma vimekaza badala yake zinashuka thd za kuomba misaada jinsi ya kutoboa abroad! Teh! Teh!

Haya ndio maisha usimtukane mamba kabla hujavuka mto
 
Back
Top Bottom