Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Nimejaribu sana kutafakari lakini nakosa majibu ni kwanini Tanzania na si Kenya ama kwingine ?
kiswahili kwa asilimia mia moja kinazungumzwa sana nchini Tanzania tena kwa ufasaha na urahisi ambao wengi wana uwezo wa kukielewa.
ndani ya kiswahili kuna fani ya ushairi ambayo inachangia sana kuenea kwa kiswahili lakini cha ajabu "KWANINI USHAIRI HAUPEWI THAMANI NDANI YA NCHI HII ?
Unapofuatilia vyombo vya habari vya Kenya,television na magazeti hautokosa makala ya kiswahili na ushairi.
unaposoma gazeti la "TAIFA LEO nchini Kenya utakuta na na makala na tungo kibao za washairi lakini kwanini siyo Tanzania ?
mbali la "MCL/GAZETI LA MWANANCHI,kwanini magazeti mengine hayatoi kipambaupele kwa washairi wa nchi ?
washairi ambao kila siku hushinda na kukesha wakiilinda lugha ya kiswahili ni kwanini hawapewi thamani katika nchi yao,kwani kazi zao hazilindwi ?
najiuliza tena,au hatukipendi kiswahili ?
kiswahili kwa asilimia mia moja kinazungumzwa sana nchini Tanzania tena kwa ufasaha na urahisi ambao wengi wana uwezo wa kukielewa.
ndani ya kiswahili kuna fani ya ushairi ambayo inachangia sana kuenea kwa kiswahili lakini cha ajabu "KWANINI USHAIRI HAUPEWI THAMANI NDANI YA NCHI HII ?
Unapofuatilia vyombo vya habari vya Kenya,television na magazeti hautokosa makala ya kiswahili na ushairi.
unaposoma gazeti la "TAIFA LEO nchini Kenya utakuta na na makala na tungo kibao za washairi lakini kwanini siyo Tanzania ?
mbali la "MCL/GAZETI LA MWANANCHI,kwanini magazeti mengine hayatoi kipambaupele kwa washairi wa nchi ?
washairi ambao kila siku hushinda na kukesha wakiilinda lugha ya kiswahili ni kwanini hawapewi thamani katika nchi yao,kwani kazi zao hazilindwi ?
najiuliza tena,au hatukipendi kiswahili ?