mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,074
- 6,472
Ile unatembea kitaa kila baada ya lisaa njaa hiyoo, hapa sio kwamba hujala gheto ila tu pesa mfukoni hakuna.
Ia siku ukiwa na pesa unaweza dumu siku nzima hata hamu ya kula unakosa, unakula ile ya kujilazimisha zaidi utatamani soda au maji.
Wakuu ni mimi pekee yangu au?
Ia siku ukiwa na pesa unaweza dumu siku nzima hata hamu ya kula unakosa, unakula ile ya kujilazimisha zaidi utatamani soda au maji.
Wakuu ni mimi pekee yangu au?