Ndio kwanza nasikia kwako, huenda ni wewe tu uliyerogwaIle unatembea kitaa kila baada ya lisaa njaa hiyoo, hapa sio kwamba hujala gheto ila tu pesa mfukoni hakuna, ila siku ukiwa na pesa unaweza dumu siku nzima hata hamu ya kula unakosa ila unakula ile ya kujilazimisha zaidi utatamani soda au maji wakuu ni mimi pekee yangu au?
Alafu unakuwa unatamani vyakula vya kitoto kitoto unajikuta unahamu ya kula kashataIle unatembea kitaa kila baada ya lisaa njaa hiyoo, hapa sio kwamba hujala gheto ila tu pesa mfukoni hakuna, ila siku ukiwa na pesa unaweza dumu siku nzima hata hamu ya kula unakosa ila unakula ile ya kujilazimisha zaidi utatamani soda au maji wakuu ni mimi pekee yangu au?
HahahahahaIle unatembea kitaa kila baada ya lisaa njaa hiyoo, hapa sio kwamba hujala gheto ila tu pesa mfukoni hakuna, ila siku ukiwa na pesa unaweza dumu siku nzima hata hamu ya kula unakosa ila unakula ile ya kujilazimisha zaidi utatamani soda au maji wakuu ni mimi pekee yangu au?
Hofu na wasiwasi ni mbaya sana..Ile unatembea kitaa kila baada ya lisaa njaa hiyoo, hapa sio kwamba hujala gheto ila tu pesa mfukoni hakuna, ila siku ukiwa na pesa unaweza dumu siku nzima hata hamu ya kula unakosa ila unakula ile ya kujilazimisha zaidi utatamani soda au maji wakuu ni mimi pekee yangu au?