Kwanini usukani wa gari unakaa kulia au kushoto badala ya kukaa katikati?

Hilo swala la uskani kuwa pembeni huwa linaniumiza kichwa sana, maana nawaza kama nitaweza kuicontrol gari ipasavyo, naona kama nitaliangushia ule upande ambao siyo wa uskani.
 
Uwiano wa chombo uko pembeni, yaani kulia ama kushoto. Hivyo kuendesha chombo hicho barabarani kwa usahihi zaidi.
 
Vizuri eminentia naweza kukubaliana na ww kiss flan lkn ulikuwa umeanza vbaya
 
Sababu ni hii hapa

Sterling haiwezi kuwa kati kwasababu gari itapoteza uelekeo,ikumbukwe kuwa gari imejengwa kwa misingi ya dereva kuona mbele na pembeni sasa sterling inapokuwa kati dereva hatoweza kuona pembeni ya body gari zilizonyuma yake
 
Kwa nini watu wengi hupenda kuweka vitanda vyao pembeni ya chumba na sio katikati ya chumba!!?...
Mwana taarab mmoja alihoji kwa nini nahodha awe nyuma ilihali abiria wakae mbele!!?...
Hapo huketi shetani
 
Sababu ni hii hapa

Sterling haiwezi kuwa kati kwasababu gari itapoteza uelekeo,ikumbukwe kuwa gari imejengwa kwa misingi ya dereva kuona mbele na pembeni sasa sterling inapokuwa kati dereva hatoweza kuona pembeni ya body gari zilizonyuma yake
Mbona hii iko kati?
 
Kwa nini watu wengi hupenda kuweka vitanda vyao pembeni ya chumba na sio katikati ya chumba!!?...
Mwana taarab mmoja alihoji kwa nini nahodha awe nyuma ilihali abiria wakae mbele!!?...
Duh ilo bonge la swali. Haha hah haha
 
Magari yote yenye kuweza kwenda spidi kubwa yana usukani pembeni (au kulia au kushoto). Lengo lake ni kurahisisha dereva kulitawala gari. Na hii ina msaada zaidi pale anapopishana na gari nyingine ili kuhakikisha anapima umbali wa gari lake na wa lile linalokuja mbele yake ili yasigongane au kukwaruzana. Ndiyo maana inashauriwa kama utaratibu wa nchi ni kuendesha magari LHD au RHD basi magari yote yawe na usukani unaoendana na utaratibu wa nchi husika.

Ni magari yanayoenda polepole kv trekta, buldoza, nk yanakuwa na usukani katikati kwani hayana hatari ya kukutana na mazingira mengi hatarishi, mfano kukutana na magari mengi barabarani tena kwa mwendo kasi sawia.
 
Ni kwa ajili ya kukuwezesha kupishana na gari nyingine kwa usalama zaidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…