Augustine Aloyce
Member
- Oct 8, 2018
- 34
- 25
Yes yaani mwaka huu ndio watu watatuita Freemason vzr aisee.Uzi tayari???
Brother naomba namba zakoAugustine_soka
Njoo DM mkuuBrother naomba namba zako
Unaweza ukaona kwa upande wako haifai nimetoa taarifa kwa mtu anaehitaji maarifa haya ya Teknolojia sio lazima uwe wewe kuna watu wanatamani kujifunza hivi vitu na wengi wametapeliwa ndio maana nawapa maarifa zaidi sio kutamani mm kile ninachokimiliki kwenye hizo system kinanitosha kuniondoa kwenye Umasikini mm mpaka kizazi cha tano katika generation yangu...Kuwa kwanza tajiri ili uwe Kama Dangote baadaye uje utuambie hayo maneno, usije ikawa lengo lako ni kutaka hela za watu Ila unajifanya kuwa unataka kuwapa success, jipe kwanza weww bila ya kuwatumia Kama mchungaji ama mwanasiasa anajitafuta Ila anawaambia wananchi kuwa naenda kuwaletea maendeleo
You're impacting fear and something like regret at future ili watu wa join kwako.Unaweza ukaona kwa upande wako haifai nimetoa taarifa kwa mtu anaehitaji maarifa haya ya Teknolojia sio lazima uwe wewe kuna watu wanatamani kujifunza hivi vitu na wengi wametapeliwa ndio maana nawapa maarifa zaidi sio kutamani mm kile ninachokimiliki kwenye hizo system kinanitosha kuniondoa kwenye Umasikini mm mpaka kizazi cha tano katika generation yangu...
Lakini mm ni mtu wa kuwapenda watu wengine ndio maana nashare na wengine waweze kujifunza na kuelewa hapa natoka Dodoma kukutana na Viongozi baadhi kuwapa Elimu hii tuendelee kuwaza negative kwa kila kitu tutavuna tutakachopanda...
Nafikiri bado unahitajika kusafisha ufahamu wako It's thoughts like yours that are holding back progress in this nation.You're impacting fear and something like regret at future ili watu wa join kwako.
Unahangaika nini Sasa Kama umeshaondoa umasikini kwa kizazi chako mpaka cha Tano, Kaa uenjoi Maisha Kama unazo nyingi Jenga hapo shule like laizer uiachie serikalini itakuwa ni Chachu kwa wengine kuja kwako na pia utatoa somo utaeleweka Ila sio kwa mtindo wa kutaka kutoa watu hela.
Kukutana na kiongozi sio safety net ya wewe kukubalika, mbona wapo wanaotapeliwa ,pia viongozi sio kuwa wako un susceptible to human flaws , they ain't saint or know all creature.
Waandae kizazi chako kije kuitawala kizazi cha kuwaza Hadi hasi