Wewe kwani hujona kitovu cha mtoto kinaning'inia mpaka ukifika wakati kinaangukaOk,ninachifikiri kila sehemu ya binadamu ipo jinsi ilivyo kwa sababu ya kufanya kazi fulani,sasa kwa mtoto kwanini kunakuwa wazi na panafunga baada ya mda fulani,angezaliwa kukiwa kumefungwa ingezuia nini
Hiyo ni kazi ya aliyetuumba na hapangiwi kwa vyovyote vile.Ok,ninachifikiri kila sehemu ya binadamu ipo jinsi ilivyo kwa sababu ya kufanya kazi fulani,sasa kwa mtoto kwanini kunakuwa wazi na panafunga baada ya mda fulani,angezaliwa kukiwa kumefungwa ingezuia nini
Jaribu kumchunguza vizuri labda bado mtoto.Mmmh! Mi kuna mfanyakazi mwenzangu utosi wake hadi leo unacheza huwa natamani kumbonyeza!! Teh!
teh teh teh! Watakuwa hawana utosi wachunguze!!mimi wanangu wawili haukucheza kabisa....hebu uje umbonyeze tuone!!
Nimekupata.Huo mbonyeowa juu,ni kws namna gani unaupa ubongo nafasi ya kukua na je pakiziba ubongo unafikia mwisho wa kukua?-mbonyeo wa juu ya utosi unaupa nafasi ubongo wa mtoto kukua.
tho my son nimemzaa kafunga hajawah dunda utosi. sio lazma kila mtoto adunde utosi piaOk,ninachifikiri kila sehemu ya binadamu ipo jinsi ilivyo kwa sababu ya kufanya kazi fulani,sasa kwa mtoto kwanini kunakuwa wazi na panafunga baada ya mda fulani,angezaliwa kukiwa kumefungwa ingezuia nini
Ila nafikiri mwenyewe uliuliza kwa daktari akakuhakikishia hilo kwasababu sikawaida hilo kutokea.tho my son nimemzaa kafunga hajawah dunda utosi. sio lazma kila mtoto adunde utosi pia