johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Usikute baba mtu alikuwa anababua mwenyewe mzigo,watu wa chama hilo wana laanaHahahaaa just hahaaa
Yule si babaake alimkana mkwe??
Dah!!!.!Ili mdada agombee UVCCM ya leo lazima awe ni hawara wa Polepole ama Heri James. Ndiyo maana wote ni wachovu.
Wapo vijana makini ila sijaelewa ni tatizo ni nini?Huko kumejaa wauzaji,wadangaji tupu..bongo movie wote wako huko uvccm
Wewe unazungumzia bavicha bwashee!Ili mdada agombee UVCCM ya leo lazima awe ni hawara wa Polepole ama Heri James. Ndiyo maana wote ni wachovu.
Hahahaaaa....... Meddy angeoa huyo nyepesi!Sasa kwa taarifa yako hata huyo Chifupa alikua na kashfa ya kuliwa na huyo huyo usiyemtaka na tena akiwa mke wa mtu, itakua haukuwepo unataka kudanganya watoto wenzio