Kwanini uwe maskini

Bilulu II

Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
58
Reaction score
6
Umaskini unaletwa na kutaka kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja. Chagua kimoja unachokiweza na kukipenda kifanye kwa juhudi na ubunifu.....Hivyo hivyo katika taaluma huwezi kuwa eng. Dkt. Mtaalam wa kilimo n.k. . Chagua kimoja na kifanye na mwache Mwenye taaluma husika afanye kazi yake pale anapohitajika. . ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…