Mimi Bibi Yenu Mpambanaji
Senior Member
- Oct 6, 2024
- 147
- 303
Nimesoma heading tu nikawahi kucomment kabla kisimu changu cha mchina hakijazima charge na umeme tanesco wamekata.!Mimi Bibi Yenu, licha ya kuwa pensioner lakini najihangaisha kwa KAZI za mikono na talanta alizonipa Maanani.
Bidhaa zangu nauzia mtanfaoni, hivyo huwa nabahatika kukutana na vimbwanga vya huko.
Ila nimegundua ngiri kwa sasa amekuwa maarufu sana, katika video kumi huenda tatu ni za ngiri, nini kimetokea?
Wazee tusaidiwe taarifa
Nabii hana heshima kwao huko duniani anatrend balaa ila hapa kwetu wapo wengi sana ila hatuna habari now ..Mimi Bibi Yenu, licha ya kuwa pensioner lakini najihangaisha kwa KAZI za mikono na talanta alizonipa Maanani.
Bidhaa zangu nauzia mtanfaoni, hivyo huwa nabahatika kukutana na vimbwanga vya huko.
Ila nimegundua ngiri kwa sasa amekuwa maarufu sana, katika video kumi huenda tatu ni za ngiri, nini kimetokea?
Wazee tusaidiwe taarifa
Anakuingiaje?Nimesoma heading tu nikawahi kucomment kabla kisimu changu cha mchina hakijazima charge na umeme tanesco wamekata.!
Back to the topic.. Sababu kubwa ya ngiri kutrend sana mitandaoni ni kwamba ngiri ndio ugonjwa pekee unaowasumbua wanaume wengi hasa kipindi cha baridi
Yaani mnyama huyu akikuingia haijalishi wewe ni mbabe kiasi gani utanyooka na kulala sakafuni ukiwa umelegea huna nguvu hata ya kushika simu uingie JF!
Na mie mzee mwenzako nilikuwa nawaza vivyo hivyo,Mimi Bibi Yenu, licha ya kuwa pensioner lakini najihangaisha kwa KAZI za mikono na talanta alizonipa Maanani.
Bidhaa zangu nauzia mtanfaoni, hivyo huwa nabahatika kukutana na vimbwanga vya huko.
Ila nimegundua ngiri kwa sasa amekuwa maarufu sana, katika video kumi huenda tatu ni za ngiri, nini kimetokea?
Wazee tusaidiwe taarifa
Pia nyama yake Tamu sanaMwendokasi na uwezo wa kurudi rivasi katika spidi kubwa
Wanasema jopo la kupima speed za wanyama walipokuwa field siku hiyo ngiri alikuwa amejipumzisha shimoni kwake kwahiyo sifa za mnyama mwenye mbio, mfalme wa pori zikampitia pembeni😆😆Mimi Bibi Yenu, licha ya kuwa pensioner lakini najihangaisha kwa KAZI za mikono na talanta alizonipa Maanani.
Bidhaa zangu nauzia mtanfaoni, hivyo huwa nabahatika kukutana na vimbwanga vya huko.
Ila nimegundua ngiri kwa sasa amekuwa maarufu sana, katika video kumi huenda tatu ni za ngiri, nini kimetokea?
Wazee tusaidiwe taarifa
Mshenzi yule ana maamuzi magumu, anaezafukuza hadi honey begger,Mimi Bibi Yenu, licha ya kuwa pensioner lakini najihangaisha kwa KAZI za mikono na talanta alizonipa Maanani.
Bidhaa zangu nauzia mtanfaoni, hivyo huwa nabahatika kukutana na vimbwanga vya huko.
Ila nimegundua ngiri kwa sasa amekuwa maarufu sana, katika video kumi huenda tatu ni za ngiri, nini kimetokea?
Wazee tusaidiwe taarifa
Nyegere ndio King of the jungleMshenzi yule ana maamuzi magumu, anaezafukuza hadi honey begger,
Haha haha haha hadi kimetokea kumpenda ngiriMr Warthog with 16 cylinder turbo charged 400 horsepower engine with reverse parking.
Yes, ni Pumba kwenye The Lion King, mwenzake alikuwa anaitwa Timo. Huu mkanda wa video nilimnunulia mjukuu wangu wa kwanza Bar Jonnah mwaka 1994 ulipotoka tu.Wanasema jopo la kupima speed za wanyama walipokuwa field siku hiyo ngiri alikuwa amejipumzisha shimoni kwake kwahiyo sifa za mnyama mwenye mbio, mfalme wa pori zikampitia pembeni😆😆
Hii ni wiki ya Mr. Warthog A.k.a Ngiri au Pumba, enjoy bibi angu😃
Ubaridi anao maiti, hali nyingine Mungu baba wa mbinguni anasaidia na kutubarikiBy the way vipi ubaridi wako na hali yako nyingine kwa ujumla wako kama ulivyo. 🙂