Kwanini video za nyimbo za Davido zina views chache?

Kuna Youtube Channel ya DJLilOmmy WA Times Fm itafute uisikie mwenyewe akifanya nae interview jaymos flan hivi tarehe uno 2weeks ago.
Uku muelewa ni kevin hart n kampuni yke ndo walikuwa wanashangaa ni jinsi gan diamond ana viwers wengi youtube hata kumzidi rozay
 
Amechuja, amekuwa na misifa ya kijinga. Amejaa minyodo mpaka kwenye nyayo za miguu yake. Inasemekena ni womanizer. Mwenye na mchukia kiasi kwamba nikisika wimbo wake unapigwa nachang station fasta
 
Kwahiyo kufanikiwa kwa msanii kunatokana na views za YouTube??? Kweli vila.za ni wengi.
 
wewe za kwako zina viewers wangapi
 

Kwa mantiki hio hata kiba uenda ana viewers wachache lakin sales ipo juu
 
wewe za kwako zina viewers wangapi
 
Uku muelewa ni kevin hart n kampuni yke ndo walikuwa wanashangaa ni jinsi gan diamond ana viwers wengi youtube hata kumzidi rozay
Mkuu isikilize upya,Dimondi ndio aliyeshangaa rozay kuwa na view chache ,Hart alishangaa Domo kuwa na view nyingi.
 
Mkuu isikilize upya,Dimondi ndio aliyeshangaa rozay kuwa na view chache ,Hart alishangaa Domo kuwa na view nyingi.
Kwa hiyo ww ilikuuma au maana unaonekana kuwa na machungu sana na kauli yake
 
Kwa hiyo ww ilikuuma au maana unaonekana kuwa na machungu sana na kauli yake
I don't give a fvck if he has one or billions views, hana effect yeyote kwenye life langu tangia akiwa tandale mpaka sasa akiwa kwenye mjengo wake wa South Africa ya Instagram sijawahi kula hata sumni yake na hata ningekula mia yake sio kigezo cha kusapport ujinga wake.
 
maelezo yako inaonesha imekuuma sana pia una wivu wa kike et "mjengo wake wa south africa ya instagram" dont hate be inspired son
 
chuki huletwa na wivu kwa dalili inaonyesha unamuonea wivu Diamond maweeeeeeee
 
Povu lote hilo la nn
Kama ni ujinga kwa nn unaufatilia......ukiona kitu cha kijinga na cha kipuuzi afu na ww ukaendelea kukifatilia basi ujue upo lile group la 1:4
 
maelezo yako inaonesha imekuuma sana pia una wivu wa kike et "mjengo wake wa south africa ya instagram" dont hate be inspired son
Jamaa anauchungu balaa coz povu linavomtoka over kanywa omo yaani
 
maelezo yako inaonesha imekuuma sana pia una wivu wa kike et "mjengo wake wa south africa ya instagram" dont hate be inspired son
chuki huletwa na wivu kwa dalili inaonyesha unamuonea wivu Diamond maweeeeeeee
Povu lote hilo la nn
Kama ni ujinga kwa nn unaufatilia......ukiona kitu cha kijinga na cha kipuuzi afu na ww ukaendelea kukifatilia basi ujue upo lile group la 1:4
Vijana fanyeni kazi huu upuuzi wa kulipwa buku mbili mbili za MB kutetea ujinga sio vizuri,Einstein alisema "the world will not be destroyed by those who are doing evil but by those who observe and do nothing" Hatuwezi kuacha ujinga ujae kwenye vichwa vyenu,sio kila mtu anayepingana na timu zenu ushuzi ana wivu,sina wivu naye hata kidogo na wala hajawahi kuniinspire kwa kitu chochote coz tupo level tofauti na hustle tofauti so he's naw my role model.
 
Povu linakutoka balaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…