Kwanini vifurushi vya Internet vinaisha haraka

Vinaisha haraka kwa sababu tunachouziwa sio kifurushi halisi wanatuibia na hakuna wa kuwakagua..
 
Kwa ajili hakuna Sheria katika nchi hii.
We are living in the wild,wild west.
Akikamatwa mhalifu,he just gets a slap on the wrist.
Lakini mi nafikiria ningekutana na mtu yeyote ana shida,ningemsaidia,na ningeondoka kabisa katika internet.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…