Kwanini vijana wa Dar hukosa wasichana wakija mikoani

Nani kakuambia huwa wanakosa au mpaka achukuliwe dada yako ndy utajua fikra zako ni potofu, na dar unaijua mbagala tu??
Labda dadaangu ndo akutongoze vinginevyo hiyo jeuri huna
 
May b kakupenda afu mwanaume mwenyewe wa dar hujui kujieleza ata ukitegwa unaogopa sasa atafanyaje
 
Hua nikijaga mkoani sitongozi wananishobokea wenyewe nawagegeda kinoma, hakuna demu wamkoa mweny jeuri yakumkataa mwanaume wa dar kwakua ndoto zao kila siku nikufika hapa tanzania
 
May b kakupenda afu mwanaume mwenyewe wa dar hujui kujieleza ata ukitegwa unaogopa sasa atafanyaje
Kwahiyo unachosema ni kwamba dadako anapenda sana wanaume wa dar eeeeh??[emoji16] mwambie ila sisi hatumpend tunamega tuuu alaf waaayaaaaaaa
 
Mbona tunawapata sana mpaka wengine wanadirk kusema wako radhi kuwaacha wanaume zao tuwaoe ?
 
Kwahiyo unachosema ni kwamba dadako anapenda sana wanaume wa dar eeeeh??[emoji16] mwambie ila sisi hatumpend tunamega tuuu alaf waaayaaaaaaa
We bishoo ukija huku unaweza kujikuta unamegwa ww
 
Akili za wapori wapori wa mikoani ni kwenye ngono tuu. Pumbavu ndo maana wachovu, wanuka vikwapa. Dar kote heal,shule etc. Kuleni mbwa huko.
 
Kwa sababu wengi wao in mateja waongo sana Na Hela hawana dar walikuwa wanakula Na kulala sebuleni Kwa dada zao
 
Akili za wapori wapori wa mikoani ni kwenye ngono tuu. Pumbavu ndo maana wachovu, wanuka vikwapa. Dar kote heal,shule etc. Kuleni mbwa huko.
Mzaramo kazini mtu

kama huyu kumuelewesha ukweli ni mziki mwingine

Unahitaji moyo kwa kweli
 
Jina unalotumia majibu yako ha hovyo halafu mimi sio mzaramo tatizo ukijibiwa ukweli unabisha
Kaka mustapha ukweli upi ulio uzungumza

Hapo dar asilimia kubwa ya wenye maisha magumu kwa sababu ya uvivu wao n wazaramo mkuu

Watu wanaokesha vijiweni kwenye mabao na madrafti ni hao hao

Wala hatuwatusi tunataka wabadilike mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…