Lakini ukweli ni kuwa nilograduate nao they are so discouraging ukiwambia i want to marry soon yani wanaona eti unaharakia nini?
Tutafurahi sana mkuu kwako kujiunga kwenye hii jamii ya waliouacha ubachelortena naona kama january mbali nitawaalika wana Jf
Wengi wao wako hivyo
Huwezi amini niliograduate nao miaka ya 2005 mpaka leo hawajaoa na wala hawafikirii wanasema bado wapo tuu
So wewe wa juzi wala usihangaike fuata mipango yako mkuu
Imagine mtu yu radhi amzalishe binti mtaani lakini kuoa wee thubutuuu....