Kwanini vijana wa kiume???

Rafiki yangu mmoja yeye ana GF(very decent) kwa miaka miwili sasa lakini huniambia mi sina mpango wa kuoa kabisa namwambia sasa si umuoe huyo anadai eti mpaka ajenge mjengo wake na awe mbali kimaisha ndo angalau atafikiria kuoa nimemshindwa kumconvisi jaman ni mgumu sijawah kuona
 
Hiyo ni kawaida tena miaka miwili ni michgache sana wengine mpaka sita au mitano wako kwenye uchumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…