GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sasa ni rasmi imegundulika ya kwamba kwa Vijana wengi nchini Tanzania wana tatizo la Kuugua Saratani ya Mapumbu / Makende / Makorodani ( Prostrate Cancer ) tofauti na Sisi Kaka zao wa miaka ya nyuma ( akina An Eagle ) ambao Makende yetu bado yapo imara tu wala hawana ‘ Mushkeli ‘ wowote ule japo tunaelekea ‘ Uzeeni ‘ sasa.
Je, tatizo ni nini hasa kwa Vijana wa leo na hili tatizo? Na kwanini wengi wanaougua ni wale waliozaliwa tu kati ya miaka 1986 hadi 2010 huku Sisi wa miaka ya nyuma ya hapo tunasifika mno na Wataalam wa Mapumbu / Makende hayo kuwa tunayatunza vyema ndiyo maana hatuna hizo Saratani?
Chanzo Taarifa: TheCitizenTanzania.com
Je, tatizo ni nini hasa kwa Vijana wa leo na hili tatizo? Na kwanini wengi wanaougua ni wale waliozaliwa tu kati ya miaka 1986 hadi 2010 huku Sisi wa miaka ya nyuma ya hapo tunasifika mno na Wataalam wa Mapumbu / Makende hayo kuwa tunayatunza vyema ndiyo maana hatuna hizo Saratani?
Chanzo Taarifa: TheCitizenTanzania.com