ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Uwezo wa akili umeongezekaa watu wamejua wanatapeliwa makanisan
Zaman watu walikuwa wanaenda kusali sababu ya kutishwa sana na ndo mbinu iliyotumika na mzungu kututawala
Now watu wameshitukaakuwa dinn biasharaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunazidi kuwa na uelewa kuwa hivi vitu vililetwa na watu wa nje kututawala kiimani.Vijana ambao tulikuwa nao Sunday school na badae kipaimara baadae tukaacha kabisa kusali mtu kwa mwezi anaenda Mara Moja.
Umenena vyema mkuu ..nikiwa naangalia EPL wala sisinzii naburudika balaa..kimbembe hapo church. Kwa kweli vijana wa siku hizi tunakosa hofu ya Mungu kabisa..inabidi tubadilike aseeeMungu atusamehe maana kukesha baa twaweza ila kanisani japo masaa mawili imetuwia ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana ambao tulikuwa nao Sunday school na badae kipaimara baadae tukaacha kabisa kusali mtu kwa mwezi anaenda Mara Moja.
Mimi kwa kweli nilivunjika moyo kwa kuwaangalia mapadre ma masista... Nimetumikia sana ..sana yani ...Ila mkisafiri kwenda vigango vy a mbali wanayofanyiana daah kama mume na mke na hawastuki vijana mpo....Watu wanatamani kumtumikia Mungu Ila hawapati nafasi.sisi wazima tunapitwa na wazazi na Bibi zetu. Shame on us!