Club bingwa inApesa ndefu mkuu...muulize bosi wake samata atakwambia
1.Pesa ya zawadi ndogo
2.Fitna za mpira wa kiafrika hawaziwezi namaanisha kucheza mpira nje ya uwanja
1.Pesa ya zawadi ndogo
2.Fitna za mpira wa kiafrika hawaziwezi namaanisha kucheza mpira nje ya uwanja
Kwa sababu wamesahau " AFRICAN TRADITION FOOTBALL" Wakaiga europian scientific football ambao kuna baadhi ya vitu wanapwaya au wanakuwa na uzubauifu fulani fulani au kumpa pasi adui kiurahisi. Rejea ezi za akina TARIBO WEST, SUNDAY OLISEY , OKOCHA, MACK FISH, PATRICK MBOMA, ETO , NDIEF, NK. MPIRA WA KIAFRIKA ULIKUWA NA MVUTO NA ILIKUWA RAHISI ZAIDI KUZIFUNGA TIMU ZA ULAYA KWA KUVURUGA FORMULA ZAO TOFAUTI NA SASA TUNAWAIGA WAKATI HATUWEZI KUWAFIKIA
ndio maana kuna mashabiki wengi (ukiwemo wewe) wa timu za ulaya kuliko timu za kiafrika, sasa kuna ubaya gani hapo tukijaribu kuwaiga haohao wa ulaya??..