Ukifuatilia hotuba huru (free style), mahojiano, na michango ya viongozi wetu wengi kwenye mikutano na makongamano ya kimataifa utangundua watu wetu mara nyingi huwa exposed na kuonekana kabisa kwamba wana uwezo mdogo wa kufikiri, hawana vision, wana uwezo mdogo wa kiakili. Mara nyingi wadau wetu wa maendeleoa hushangaa inakuwaje watu hawa wanapanda ngazi na kupata vyeo kama vya Directors, Ministers, etc. huku kichwani HAMNA KITU. Tuna tatizo gani waafrika? Inakuwaje mtu asiyejua kusoma anapanda hadi kuwa Waziri, au mkuu wa Taasisi?