Kwanini vipozi vyote visipigwe marukufu?

Kwanini vipozi vyote visipigwe marukufu?

kabiriga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
1,109
Reaction score
1,171
Ni mara nyingi utasikia au kuona TFDA ikikamata vipodozi vyenye sumu na kisha kuviteketeza kwa madai ya kuwalinda watumiaji.
Kwa upande mwingine wauzaji na watumiaji aghalabu ulalamika kuwa hawatendewi haki ktk hili,kwa maana hawaoni athari za vipodozi hivyo.
Je kwanini vipodozi vyote visipigwe marukufu hapa nchini? Maisha yataenda tu bila vipodozi na kuna vitu hatuna na hatujuti kutokuwa navyo maana kuwepo kuna athari kuliko kutokuwepo kabisa,mfano kuna watu tunashindwa kuelewa rangi ya mwili wao ni hipi hasa,maana mhhh
 
wiki iliopita nimekutana na dada ambae nilisoma nae secondary, dah kadada kalikuwa keusi kabayabaya lakini ukimuona sasa amekua mwarabu afu dada msomi tu lakini ajiamini.akili za wanawake bhana!!!
 
Mm nashauri zisipigwe marufuku waache wayatumie madhara wakiyapata ni kwa kujitakia wao wenyewe ,wote wanaotumia ni watu wazima wanajielewa waacheni wawe wekundu usoni
 
Acheni watumie tu. Kuna binti mmoja alikuwa mweusi tii, ila sasa hivi amekuwa kama msomali. Yatakapowakuta ndipo watapata akili. Halafu vipodozi hivyo vinatusaidia sisi wanaume kujua ni mwanamke gani ana adabu na magumashi.
 
mtu anakuwa na rangi mbili.mirinda nyeusi na orange
 
Watumiaji wote wa vipodoz wamekataa kujikubali wao wenyew
 
Back
Top Bottom