Kwanini vita vya Mashariki ya Kati havisababishi kutokea kwa Vita Kuu ya Dunia?

Kwanini vita vya Mashariki ya Kati havisababishi kutokea kwa Vita Kuu ya Dunia?

jmushi1

Platinum Member
Joined
Nov 2, 2007
Posts
26,329
Reaction score
25,263
Hili swali huwa najiuliza sana.

Mara zote ambapo vita ya dunia ilitokea, sababu kubwa unakuta ni maslahi ya mataifa makubwa. Mataifa ambayo yanapishana “ideology”

Mfano mataifa ya mashariki na magharibi. Na inakuwa vita ya dunia kwasababu utakuta kila nchi ina upande iliyochaguwa hata kama siyo kwa wazi. Na athari za vita ni kila bara linaathirika kwa namna moja ama nyingine…either directly or indirectly.

Kwenye hili suala la vita vya mashariki ya kati, kuna maslahi ya mataifa makubwa. Lakini maslahi hayo yako “intertwined” na masuala ya kiimani. Ambapo yanapewa uzito sana na mataifa hayo.

Pamoja na kwamba ideologies za capitalism na communism zilitaka kusababisha vita ya dunia hadi kuingia kwenye “vita baridi” baina ya mataifa hayo makubwa, bado mataifa hayo ikija kwenye imani wanakuwa wanakubaliana mambo mengi.

Hata wakomunisti wengine ni wakristo. Only wachina ndo tofauti. Lakini ubepari, wenyewe umejikita kwenye ukristo kiasi cha kwamba mataifa hayo yakaona kuwa ukomunisti ni adui mkubwa kabisa wa “western civilization”

Vita vya Middle East navyo viko kiimani zaidi. Lakini hakuna wakomunisti wanaokubali kujitolea kuwa upande wa watu wa Middle East ambao ni waarabu na waislam.

Hata Russia mwenyewe anasuasua na kuchagua wa kusaidia. Mfano Saddam na Ghaddafi walifumba macho NATO na Marekani wakachinja wanavyotaka.

Lakini kidogo kwa Iran na Syria amewasaidia lakini siyo “full support” mfano anayoifanya marekani kwa Israel. Ambapo marekani yupo tayari kabisa kuingia vitani kumsaidia Israel.

Lakini pia naona marekani ameshakubaliwa sana kuingiza maslahi yake mashariki ya kati. Na hata kuweka uongozi ambao ni vibaraka wake. Na kule kuna kambi zao nyingi za kutosha za majeshi.

Marekani wana mfuta, lakini hawachimbi. Wanakunywa Middle East huko kwa waarabu. Hata pale Saudi Arabia, familia kubwa ya kitajiri ambayo ndo familia iliyoijenga Saudi Arabia, familia ya Bin Laden, yule Osama alifanikiwa sana kupata sapoti ya waarabu wengi ambao hawakuwa wamefurahishwa na uwepo mkubwa wa wamarekani kule Saudia. Na pia marekani waliingia mikataba na familia ya kifalme ya Saudi, kwamba marekani apate mafuta, na yeye Msaudi apate ulinzi na silaha kutoka kwa mmarekani.

Kwahiyo sababu za wamarekani kuacha kuchimba mafuta yao, ni mambo ya “timing”, pia msemo wao wa “adui muweke karibu”

Mfano wao wa Saudi, uoga wao na tamaa za kubakia madarakani, ndizo zimesababisha vita huko kwao isiongezeke na kuwa vita kuu ya dunia.

Leo hii wangewanyima wamarekani mafuta, kuna uwezekano mkubwa vita ikawa ya dunia.

Kwa upande mwingine, China na yeye yupo kimya kwasababu mbali mbali. Ambapo huwa anatoa kauli za kulaani, lakini hakuna hatua yoyote.

Hata wakina Kiduku huwa hawaoni kama vinawahusu. Kiduku amemsaidia Putin dhidi ya Ukraine, lakini sijawahi kuona wala kusikia aki “sympathize” na dhahma ya mashariki ya kati.

Naomba wenye maoni tupeane hapa. Ni kwanini hivi vita ni kama vile “Mambo ya Ngoswe”?
 
Ni kwasababu Mataifa yote Makubwa yapo connected na Israel katika historia ya Imani zao . Hata huyu Mrusi anayeonekana kuwa rafiki wa Iran lakini nyuma ya pazia yeye na Mayahudi ni damudamu
 
Ni kwasababu Mataifa yote Makubwa yapo connected na Israel katika historia ya Imani zao . Hapa huyu Mrusi anayeonekana kuwa rafiki wa Iran lakini nyuma ya pazia yeye na Mayahudi ni damudamu
Nashukuru kwa jibu ambalo nadhani lina ukweli.
 
Ni kwasababu Mataifa yote Makubwa yapo connected na Israel katika historia ya Imani zao . Hata huyu Mrusi anayeonekana kuwa rafiki wa Iran lakini nyuma ya pazia yeye na Mayahudi ni damudamu
Umeipata wapi na hiyo iman ni ipi
 
Ni kwasababu Mataifa yote Makubwa yapo connected na Israel katika historia ya Imani zao . Hata huyu Mrusi anayeonekana kuwa rafiki wa Iran lakini nyuma ya pazia yeye na Mayahudi ni damudamu
Naona Russia ameshaanza kuchagua upande mashariki ya kati. Upande ambao siyo rafiki kwa Israel..

 
Ni kwasababu Mataifa yote Makubwa yapo connected na Israel katika historia ya Imani zao . Hata huyu Mrusi anayeonekana kuwa rafiki wa Iran lakini nyuma ya pazia yeye na Mayahudi ni damudamu
Mrusi hajawahi kuwa na geopolitical relation na myahudi,usitudanganye kaka.
 
Mrusi hajawahi kuwa na geopolitical relation na myahudi,usitudanganye kaka.
Unachojua ni neno geopolitical . Kosugi kumbe wewe ni mweupe kiasi hiki . Ndio maana Mjuajiiiiiiiiiii. Kuna mambo mengine nadhani sio level yako
 
Unachojua ni neno geopolitical . Kosugi kumbe wewe ni mweupe kiasi hiki . Ndio maana Mjuajiiiiiiiiiii. Kuna mambo mengine nadhani sio level yako
Sio kwamba mweupe huo ndio ukweli.
Kama unakataa ukweli endelea kukataa.
Urusi haijawahi kuwa na uhusiano na Israel.
Usidanganye watu.
 
Sio kwamba mweupe huo ndio ukweli.
Kama unakataa ukweli endelea kukataa.
Urusi haijawahi kuwa na uhusiano na Israel.
Usidanganye watu.
Kuna jambo kubwa hulijui na ndio maana nasema sio level yako. Political science yako uliyopewa UDSM imekudumaza usijue yaliyo nje ya box
 
Kuna jambo kubwa hulijui na ndio maana nasema sio level yako. Political science yako uliyopewa UDSM imekudumaza usijue yaliyo nje ya box
Sibishani shikilia unaposhikilia ila uhalisia ndio huo.
Endelea kudanganya watu alamsiki end of discussion.
 
Ni kwasababu Mataifa yote Makubwa yapo connected na Israel katika historia ya Imani zao . Hata huyu Mrusi anayeonekana kuwa rafiki wa Iran lakini nyuma ya pazia yeye na Mayahudi ni damudamu
Ingekuwa
Ni kwasababu Mataifa yote Makubwa yapo connected na Israel katika historia ya Imani zao . Hata huyu Mrusi anayeonekana kuwa rafiki wa Iran lakini nyuma ya pazia yeye na Mayahudi ni damudamu
Ingekuwa raha sana ukafafanua zaidi mkuu,ili uelewa mpana upatikane,hii damudamu urusi na mayahudi ikoje?na imekaaje??
 
... andiko lako la biblia linaweza kuwa linasomeka kinyume! ... wanasema, bible prophesy, kwamba mataifa yote yataizunguka Israel, ni kweli maana kweli wote wameizunguka Gaza iliyo Palestine ndani ya Israel!
TUNACHOSUBIRI NI MUNGU KUINGILIA KATI NA KUMALIZA VITA!
😅
 
Hili swali huwa najiuliza sana.

Mara zote ambapo vita ya dunia ilitokea, sababu kubwa unakuta ni maslahi ya mataifa makubwa. Mataifa ambayo yanapishana “ideology”

Mfano mataifa ya mashariki na magharibi. Na inakuwa vita ya dunia kwasababu utakuta kila nchi ina upande iliyochaguwa hata kama siyo kwa wazi. Na athari za vita ni kila bara linaathirika kwa namna moja ama nyingine…either directly or indirectly.

Kwenye hili suala la vita vya mashariki ya kati, kuna maslahi ya mataifa makubwa. Lakini maslahi hayo yako “intertwined” na masuala ya kiimani. Ambapo yanapewa uzito sana na mataifa hayo.

Pamoja na kwamba ideologies za capitalism na communism zilitaka kusababisha vita ya dunia hadi kuingia kwenye “vita baridi” baina ya mataifa hayo makubwa, bado mataifa hayo ikija kwenye imani wanakuwa wanakubaliana mambo mengi.

Hata wakomunisti wengine ni wakristo. Only wachina ndo tofauti. Lakini ubepari, wenyewe umejikita kwenye ukristo kiasi cha kwamba mataifa hayo yakaona kuwa ukomunisti ni adui mkubwa kabisa wa “western civilization”

Vita vya Middle East navyo viko kiimani zaidi. Lakini hakuna wakomunisti wanaokubali kujitolea kuwa upande wa watu wa Middle East ambao ni waarabu na waislam.

Hata Russia mwenyewe anasuasua na kuchagua wa kusaidia. Mfano Saddam na Ghaddafi walifumba macho NATO na Marekani wakachinja wanavyotaka.

Lakini kidogo kwa Iran na Syria amewasaidia lakini siyo “full support” mfano anayoifanya marekani kwa Israel. Ambapo marekani yupo tayari kabisa kuingia vitani kumsaidia Israel.

Lakini pia naona marekani ameshakubaliwa sana kuingiza maslahi yake mashariki ya kati. Na hata kuweka uongozi ambao ni vibaraka wake. Na kule kuna kambi zao nyingi za kutosha za majeshi.

Marekani wana mfuta, lakini hawachimbi. Wanakunywa Middle East huko kwa waarabu. Hata pale Saudi Arabia, familia kubwa ya kitajiri ambayo ndo familia iliyoijenga Saudi Arabia, familia ya Bin Laden, yule Osama alifanikiwa sana kupata sapoti ya waarabu wengi ambao hawakuwa wamefurahishwa na uwepo mkubwa wa wamarekani kule Saudia. Na pia marekani waliingia mikataba na familia ya kifalme ya Saudi, kwamba marekani apate mafuta, na yeye Msaudi apate ulinzi na silaha kutoka kwa mmarekani.

Kwahiyo sababu za wamarekani kuacha kuchimba mafuta yao, ni mambo ya “timing”, pia msemo wao wa “adui muweke karibu”

Mfano wao wa Saudi, uoga wao na tamaa za kubakia madarakani, ndizo zimesababisha vita huko kwao isiongezeke na kuwa vita kuu ya dunia.

Leo hii wangewanyima wamarekani mafuta, kuna uwezekano mkubwa vita ikawa ya dunia.

Kwa upande mwingine, China na yeye yupo kimya kwasababu mbali mbali. Ambapo huwa anatoa kauli za kulaani, lakini hakuna hatua yoyote.

Hata wakina Kiduku huwa hawaoni kama vinawahusu. Kiduku amemsaidia Putin dhidi ya Ukraine, lakini sijawahi kuona wala kusikia aki “sympathize” na dhahma ya mashariki ya kati.

Naomba wenye maoni tupeane hapa. Ni kwanini hivi vita ni kama vile “Mambo ya Ngoswe”?
Unasema hivyo kwakuwa hujasoma Biblia. Ngoja nikupe taarifa.
1. Vita ya tatu ya dunia itatokea Mashariki yabkati. Na itakuwa ni kati ya nchi za kiislamu zote ikiongozwa na Urusi. Na vita ya sasa ni maandalizi tu. Nadhani ulishasikia kauli za Rais wa Uturuki na rais wa Iran wakiomba nchi za kiislamu kuungana dhidi ya Israel. Nchi hizo zitamwomba Urusi iwasaidie na atakubali. Lakini Biblia imeshatoa matokeo ya hivyo vita. Mrusi na jamaa zake wataangamizwa na kuzikwa ktk milima ya Israel. Ezekiel 38-39.
2. Kuna vita vinaitwa Harmagedon. Wengi huchanganya vita vya Ezekiel na vile vya Harmagedon. Ni hivi:
Wakati wa vita vya Ezekiel Marekani haitakuwa na nguvu hivyo hataogopeka (dalili zimeanza). Baada ya Mrusi kuangamizwa ataibuka jamaa mmoja wa Ulaya ambaye ameandikwa sana na maandiko. Ataitwa Mpinga Kristo. Atatokea kama Masihi wa dunia na atafanikiwa kurejesha amani duniani. Watu watamwamini sana. Yeye ndiye atamaliza mgogoro wa Masharikibya kati na ataruhusu Wayahudi kujenga Hekalu. Lakini baada ya miaka mitatu na nusu roho ya shetani itamwingia na ataingia hekaluni kutaka ibada. Ndipo Wayahudi watamkataa na ataanzisha vita dhidi ya Wayahudi wote. Ataua Wayahudi kuliko Hitla na mwishoni mataifa yote yataingia vitani hapo Mashariki ya kati. Ndipo Yesu Kristo atarejea na kuangamiza hayo majeshi na kuanzisha utawala wake pale Yerusalemu.
 
Hakuna vita ya dunia iliyowahi tokea. Ni baadhi ya nchi huwa zinapigana
 
Unasema hivyo kwakuwa hujasoma Biblia. Ngoja nikupe taarifa.
1. Vita ya tatu ya dunia itatokea Mashariki yabkati. Na itakuwa ni kati ya nchi za kiislamu zote ikiongozwa na Urusi. Na vita ya sasa ni maandalizi tu. Nadhani ulishasikia kauli za Rais wa Uturuki na rais wa Iran wakiomba nchi za kiislamu kuungana dhidi ya Israel. Nchi hizo zitamwomba Urusi iwasaidie na atakubali. Lakini Biblia imeshatoa matokeo ya hivyo vita. Mrusi na jamaa zake wataangamizwa na kuzikwa ktk milima ya Israel. Ezekiel 38-39.
2. Kuna vita vinaitwa Harmagedon. Wengi huchanganya vita vya Ezekiel na vile vya Harmagedon. Ni hivi:
Wakati wa vita vya Ezekiel Marekani haitakuwa na nguvu hivyo hataogopeka (dalili zimeanza). Baada ya Mrusi kuangamizwa ataibuka jamaa mmoja wa Ulaya ambaye ameandikwa sana na maandiko. Ataitwa Mpinga Kristo. Atatokea kama Masihi wa dunia na atafanikiwa kurejesha amani duniani. Watu watamwamini sana. Yeye ndiye atamaliza mgogoro wa Masharikibya kati na ataruhusu Wayahudi kujenga Hekalu. Lakini baada ya miaka mitatu na nusu roho ya shetani itamwingia na ataingia hekaluni kutaka ibada. Ndipo Wayahudi watamkataa na ataanzisha vita dhidi ya Wayahudi wote. Ataua Wayahudi kuliko Hitla na mwishoni mataifa yote yataingia vitani hapo Mashariki ya kati. Ndipo Yesu Kristo atarejea na kuangamiza hayo majeshi na kuanzisha utawala wake pale Yerusalemu.
Quite interesting 🤔
 
Back
Top Bottom