Kwanini viumbe vingi vina macho?

Mwanakijiji bana, "anawasakizia" halafu anarudisha kiti nyuma anaenjoy game! hahahaaa
 
Ukitaka kujua umarekani umekuingia angalio mwitikio wako kwa huyo nyani. Kama wazo la mwanza lilikuwa "how cute" basi umeshauvaa umarekani. Kama ulisema "wazungu bana" basi umarekani umekataa kukuingia.

hahahahahahha......mkuu hapa umenifurahisha sana! waafrika mbona kazi tunayo!
 
This thread has been beshited.

Mkuu Megaman fuatilia hizi threads; is there life.... na proof of God... utaona kwamba thread ikifika baada ya page chache huwa inabadilika na kuwa muendelezo wa hii thred ambayo iko jukwaa la dini. Kwa hiyo kuwa muangalifu inabidi uwe adapted kwani H1N1, Kosher, Companero (na iron lady? ) ni kama hawaoni tofauti ya hizo threads. Ni kama umepanda basi la Tegeta-MbagalaR3 halafu kuna mtu anakuhubiria njia zima kwa sauti ya juu Neno la Bwana bila kujali kama upo tayari au unataka kusikiliza na kusababisha kero kwa baadhi ya abiria.
 

Acha majungu, jicho ni moja ya kielelezo kikuu cha 'irreducible complexity':

Darwinism Refuted.com

The human eye is a very complicated system consisting of the delicate conjunction of some 40 separate components. Let us consider just one of these components: for example, the lens. We do not usually realize it, but the thing that enables us to see things clearly is the constant automatic focusing of the lens. If you wish, you can carry out a small experiment on this subject: Hold your index finger up in the air. Then look at the tip of your finger, then at the wall behind it. Every time you look from your finger to the wall you will feel an adjustment.This adjustment is made by small muscles around the lens. Every time we look at something, these muscles go into action and enable us to see what we are looking at clearly by changing the thickness of the lens and turning it at the right angle to the light. The lens carries out this adjustment every second of our lives, and makes no mistakes. Photographers make the same adjustments in their cameras by hand, and sometimes have to struggle for quite some time to get the right focus. Within the last 10 to 15 years, modern technology has produced cameras which focus automatically, but no camera can focus as quickly and as well as the eye.For an eye to be able to see, the 40 or so basic components which make it up need to be present at the same time and work together perfectly. The lens is only one of these. If all the other components, such as the cornea, iris, pupil, retina, and eye muscles, are all present and functioning properly, but just the eyelid is missing, then the eye will shortly incur serious damage and cease to carry out its function. In the same way, if all the subsystems exist but tear production ceases, then the eye will dry up and go blind within a few hours.The theory of evolution's claim of "reducibility" loses all meaning in the face of the complicated structure of the eye. The reason is that, in order for the eye to function, all its parts need to be present at the same time. It is impossible, of course, for the mechanisms of natural selection and mutation to give rise to the eye's dozens of different subsystems when they can confer no advantage right up until the last stage. Professor Ali Demirsoy accepts the truth of this in these words:

It is rather hard to reply to a third objection. How was it possible for a complicated organ to come about suddenly even though it brought benefits with it? For instance, how did the lens, retina, optic nerve, and all the other parts in vertebrates that play a role in seeing suddenly come about? Because natural selection cannot choose separately between the visual nerve and the retina. The emergence of the lens has no meaning in the absence of a retina. The simultaneous development of all the structures for sight is unavoidable. Since parts that develop separately cannot be used, they will both be meaningless, and also perhaps disappear with time. At the same time, their development all together requires the coming together of unimaginably small probabilities.350

What Professor Demirsoy really means by "unimaginably small probabilities" is basically an "impossibility." It is clearly an impossibility for the eye to be the product of chance. Darwin also had a great difficulty in the face of this, and in a letter he even admitted, "I remember well the time when the thought of the eye made me cold all over."351[TABLE="width: 94%, align: center"]
[TR]
[TD="class: resimalti, align: center"]
The human eye works by some 40 different parts functioning together. If just one of these is not present, the eye will serve no purpose. Each of these 40 parts has its own individual complex structure. For instance, the retina, at the back of the eye, is made up of 11 strata (above right), each of which has a different function. The theory of evolution is unable to account for the development of such a complex organ.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

In The Origin of Species, Darwin experienced a serious difficulty in the face of the eye's complex design. The only solution he found was in pointing to the simpler eye structure found in some creatures as the origin of the more complex eyes found in others. He hypothesized that more complex eyes evolved from simpler ones. However, this claim does not reflect the truth. Paleontology shows that living things emerged in the world with their exceedingly complex structures already intact. The oldest known system of sight is the trilobite eye. This 530-million-year-old compound eye structure, which we touched on in an earlier chapter, is an "optical marvel" which worked with a double lens system. This fact totally invalidates Darwin's assumption that complex eyes evolved from "primitive" eyes.
 

 
Last edited by a moderator:

Companero haambiliki kama mzee kifimbo.
 
Mose ananiandikia na kusema:

 
Ni Kweli kua viubme hutofautiana ila pia twahitaji connection kati ya jicho na ubongo kwa ku-process hiyo information. The shorter that connection the better.
Nakubaliana sana na wewe mkuu. Kwa mfano kwenye sound system kadiri waya wa kutoka kwenye amplifire kwenda kwenye speaker unavyokuwa mrefu ndivyo na sauti inavyochelewa kufika. hebu fikiria kama ubongo ungekuwa miguuni na macho kichwani ingekuwa ukimuita mtu anaitika utadhani unavyoongea kwa simu na mtu aliyeko marekani lazima usubiri sekunde mbili ndio aitike.
 
Mkuu JONGOO hana macho:
Ndio maana ukimgusa tu! Huwa anajificha, hivyo ndio kusema anaongozwa na bodysense.
 
How does evolution reason that way...? Halafu kila kiumbe kina physiological make up yake ya kutengeneza macho, chemicals zake za kwenye brain (sijui kama Crabs na wenyewe wana seratonin na dopamine na vinginevyo).

Mwanakijiji unataka kuharibu uondo, acha tuendelee kuufirikia uumbaji achana na mambo a evolution
 
Macho ni kitu muhimu sana katika maisha ya viumbe hai, idadi ya macho na mahali yalipo ukubwa ama udogo wa macho hayo yaweza kuwa imepaswa kuwa hivyo ama wameumwa hivyo kutokana na mahali waishipo viumbe hai hao, na wengine hawana macho kwa sababu mazingira waishio viumbe hao wangeharibu macho hayo na ndio maana wakapewa vitu vingine viwasaiidiavyo kujikinga na hatari mbalimbali.

wanasayansi kama huyo darwin wamejaribu sana kusoma viumbe hai na tabia zao lakini hadi mwisho walikiri kuwa it was not by chance that living organism are the way they are. hata ukitazama jamii moja ya viumbe utakuta kuna utofauti mkubwa sana baina yao kitabia na wakati mwingine wanafanana baadhi ya vitu na kutofautiana kabisa katika vitu fulani fulani. ukija kwa kiumbe binadamu ndio kabisa kila leo wanasayansi wanakuja na kipya na kuweka pembeni theories za zamani.
sitaki kusema kuwa kila tushindwapo majibu tunakimbilia uumbaji, ila nataka kusema kwa hizi facts za viumbe hai na tabia zao, then there is a hand of the most intelligent designer.
 
Kuna mambo mengine hakika hatuna majibu yake au wenye imani husema bado hawajafunuliwa na Mungu.

Cha ajabu zaidi ni kwamba size ya jicho huendelea kubaki ile ile toka kuzaliwa wakati viungo vingine kama masikio na pua vyenyewe vinaongezeka na umri (hadi kufikia umri fulani)! Je na hii ni kwa nini?
 
Macho ni jina tu.... ila hakuna kiumbo asiyekua na macho. ..

Ni sawa na mikono ya mmbwa we unaita miguu....

Macho ya viumbe wengine ni papasi....

Wengine macho yao ni ubongo.

Na kuna wanaotumia jicho la dharura (watangazaji wa clouds na eatv haswa fashion show)
 
Viumbe wote wenye macho wanatembea! Na wale wasio na macho hawatembei/hapa namaanisha aina zote za mjongeo wa miili yao kutoka sehem moja kwenda nyingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…