nyanga kante
Member
- Jan 7, 2017
- 36
- 34
Wapandisha bei ovyo ovyo sanaKwa mnao faham naombeni mnisaidie kuusu hili. Kwanini vifurushi vya Vodacom vina bei sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo, Airtel...... Ni kwamba vodacom wameridhika sana na wateja wengi walio nao au imekaaje hii. Watalam wa mambo nawaomba mnisaidie
Watumiaji wa internet ya voda ni wachache...Waache tu wawe na bei Internet yao ipo kasi sana japo mambo magumu lakin nakomaa na vodacom
Ndio, Tena kwa wakazi wa Dar kipo Darsupa uni ni nafuuWatumiaji wa internet ya voda ni wachache...
Voda ni mtandao muhimu na salama kwenye maswala ya kifedhaNdio, Tena kwa wakazi wa Dar kipo Darsupa uni ni nafuu
KabisaVoda ni mtandao muhimu na salama kwenye maswala ya kifedha
ila vinginevyo Ungekuta ishakufaga
Wewe kwanini ulinunua line yao huku ukijua ni ghali?Kwa mnao faham naombeni mnisaidie kuusu hili. Kwanini vifurushi vya Vodacom vina bei sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo, Airtel...... Ni kwamba vodacom wameridhika sana na wateja wengi walio nao au imekaaje hii. Watalam wa mambo nawaomba mnisaidie
Kuliko tigo 4G? I doubtWaache tu wawe na bei Internet yao ipo kasi sana japo mambo magumu lakin nakomaa na vodacom
Voda ipo juu zaidi ya Tigo 5GKuliko tigo 4G? I doubt
wana huduma nzuri sio wez kama tigo yaan ata uweke salio bla kujiunga likakaa siku nzma basi utalikuta mlad ujawasha data wala ujapiga cm ila sio kwa tigo..kifupi ndo mtandao unaoongoza TZ adi vijijin.Kwa mnao faham naombeni mnisaidie kuusu hili. Kwanini vifurushi vya Vodacom vina bei sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo, Airtel...... Ni kwamba vodacom wameridhika sana na wateja wengi walio nao au imekaaje hii. Watalam wa mambo nawaomba mnisaidie