Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wanabodi,
Uchaguzi umekaribia. Tunajua CHADEMA watakuja na sera zao Katiba mpya meanwhile CCM watakuja na sera zao za jinsi walivyonunua madege, kujenga flyover na SGR.
Lakini kwanini, vyama hivi havizungumzii kuhusu masuala ya utunzaji wa mazingira na mabadiliko ya tabia ya nchi hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi?
Mvua za El Nino, ukame na mafuriko ni mambo ambayo wananchi yanatuathiri sana lakini kikija kipindi cha uchaguzi viongozi wa vyama vya siasa wapo kimya wanang'ang'ania katiba na ujenzi wa mabarabara.
Kila siku sera na ilani zao ni zile zile.
Ukiangalia ilani za vyama vingi vya siasa, CHADEMA kwa mfano, kwenye ilani yao, mambo ya mazingira na mabadiliko ya tabia ya nchi hawajaweka kwenye vile vipaumbele vyao 20.
Soma Pia: Tanzania inaweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi
CCM ndo kabisa. Utunzaji wa mazingira wameeka kwenye kipengele walichokiita Mengineyo.
Kwanini wanasiasa wetu hawaongelei mambo haya kwenye majukwaa ya uchaguzi? Kila siku ni mambo ya madege na katiba mpya? Au hawaoni jinsi mvua za El Nino zilivyotuathiri mwaka huu?
Mimi nashindwa kuwaelewa kabisa wana shida gani.
Nawasilisha
Uchaguzi umekaribia. Tunajua CHADEMA watakuja na sera zao Katiba mpya meanwhile CCM watakuja na sera zao za jinsi walivyonunua madege, kujenga flyover na SGR.
Lakini kwanini, vyama hivi havizungumzii kuhusu masuala ya utunzaji wa mazingira na mabadiliko ya tabia ya nchi hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi?
Mvua za El Nino, ukame na mafuriko ni mambo ambayo wananchi yanatuathiri sana lakini kikija kipindi cha uchaguzi viongozi wa vyama vya siasa wapo kimya wanang'ang'ania katiba na ujenzi wa mabarabara.
Kila siku sera na ilani zao ni zile zile.
Ukiangalia ilani za vyama vingi vya siasa, CHADEMA kwa mfano, kwenye ilani yao, mambo ya mazingira na mabadiliko ya tabia ya nchi hawajaweka kwenye vile vipaumbele vyao 20.
Soma Pia: Tanzania inaweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi
CCM ndo kabisa. Utunzaji wa mazingira wameeka kwenye kipengele walichokiita Mengineyo.
Kwanini wanasiasa wetu hawaongelei mambo haya kwenye majukwaa ya uchaguzi? Kila siku ni mambo ya madege na katiba mpya? Au hawaoni jinsi mvua za El Nino zilivyotuathiri mwaka huu?
Mimi nashindwa kuwaelewa kabisa wana shida gani.
Nawasilisha