Pre GE2025 Kwanini Vyama vya Upinzani hamkupinga utaratibu wa uandikishaji wa Wapigakura kupitia daftari

Pre GE2025 Kwanini Vyama vya Upinzani hamkupinga utaratibu wa uandikishaji wa Wapigakura kupitia daftari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Huu utaratibu ni mbaya na una dosari nyingi sana. Kama kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea ana kadi yake ya kupigia kura sasa kwa nini katika uchaguzi huu ingependeza kila mwananchi atumie kadi yake ya kupigia kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Kwa uchaguzi huu Vyama vya upinzani mmeingizwa chaka ambapo maeneo mengi kuna kila lalamiko. Watoto wanaandikishwa, marehemu wanaandikishwwa kule Tarime kuna jamaa kalalamika kuwa mke wake waliyeachana naye miaka minne iliyopita na hawako naye ameandikishwa kwenye daftari.

Inatisha na sijaona utaratibu kama huu ni Tanzania pekee.
 
Huu utaratibu ni mbaya na una dosari nyingi sana. Kama kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea ana kadi yake ya kupigia kura sasa kwa nini katika uchaguzi huu ingependeza...
Hujui hata ulichokiandika, yani kadi za Vodacom ukatumie Airtel?

Uchaguzi huu unasimamiwa na Tamisemi na siyo Nec, hoja inatakiwa chaguzi zote zisimamiwe na Nec ndio wenye majukumu ya kusimamia uchaguzi na siyo Tamisemi.
 
Back
Top Bottom