Kwanini vyeo wanapewa ambao tayari wameshapata mafao ya kuwawezesha kufanya uwekezaji au kuishi bila hata kufanya kazi?

Kwanini vyeo wanapewa ambao tayari wameshapata mafao ya kuwawezesha kufanya uwekezaji au kuishi bila hata kufanya kazi?

1120ulimwengu

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2013
Posts
252
Reaction score
422
Tanzania inawafanyakazi, wakulima na wafanyabiashara wengi tu. Kwenye kila nyanja kuna wanaofanya vzuri ambao hupaswa kuigwa,kuinuliwa na hata kutazamwa kwa jicho zuri!

Kwakuwa Tanzania ni nchi huru na ambayo inajinasibu kutumia rasilimali kwa manufaa ya wote bila upendeleo na kwamba keki ya Taifa itagawanywa sawa basi kuna ulazima wa kuondoa favouritism, nepotism nk

Najiuliza mtu ambaye amefanya kazi Serikalini kwa mfano katika nafasi ya mkuu wa mkoa akapata mafao mamilioni ya pesa na baada ya kuachia ngazi akaweza kuwekeza kwenye kilimo tena cha large scale kuna sababu gani ya pekee na kubwa ya kumuonea huruma kana kwamba ili aishi vzuri arudishwe kwenye vyeo?

Kwanini vyeo utitiri vilivyopo wanapewa watu ambao tayari wameshapata mafao ya kutosha yanayowawezesha kufanya uwekezaji mwingine la hasha wanaweza kuishi bila hata kufanya kazi?Je, isingekuwa vizuri promosheni hizo wangepewa watu wanaofanya vzuri kwenye sekta za afya, elimu, kilimo nk mbona wapo wafanyakaz tunawaona wanajituma sana lakin days go by no PROMOTION?

Ok, well labda factor ni uzoefu. Najiuliza uzoefu kazi hizo hazina hadidu rejea/hazina maelekezo ya kaxi kiasi kwamba mtu hawez kujua wajibu wake? Inashangaza na inauma sana kuwa lazima nafasi flan flan ziwe za watu walewale wakati wote. Hata kama ni nafasi za upendeleo kwa ajili ya wanaccm mbona wapo wanaccm wengine wengi mbona wasipewe hao wanapewa walewale ambao tayar wameshakata slice ya mkate wao?

Kama kuna dude linalofanya vetting ya viongozi, dude hili ndio adui mkubwa wa maendeleo ya Mtz, it should be cut off! Madude haya yanayotoa ushauri kwa mamlaka za uteuzi ni janga.
 
Najiuliza mtu ambaye amefanya kazi Serikalini kwa mfano katika nafasi ya mkuu wa mkoa akapata mafao mamilioni ya pesa na baada ya kuachia ngazi akaweza kuwekeza kwenye kilimo tena cha large scale
DC, RC na mawaziri hawana mafao. Wakitumbuliwa wanaondoka na makalio yao tu.

Ndiyo maana kuna RC mmoja alikuwa Arusha then akaenda Mwanza enzi za JK, anaitwa John Mulongo, amefulia mbaya.

Ni jirani yangu tunagombania mihogo ya chai asubuhi kwa mama Naninihino.
 
Marko 4:25 "Kwa maana aliye na kitu ataongezewa, na asiye na kitu atanyang’anywa hata kile kidogo alicho nacho.” mwisho wa kunukuu.
Neno "aliye na kitu" linamaana a person who is receptive to God's word na neno "asiye na kitu" linamaana a person who is blind to and has rejected the spiritual truth and godly wisdom already given to him,kwahyo matokeo yake hata ile knowledge kidogo aliyopewa juu ya Jesus will no longer be clear to him!

Mnachanganya sana maandiko ili kuSUIT your narrative of oppressing!Too sad
 
Neno "aliye na kitu" linamaana a person who is receptive to God's word na neno "asiye na kitu" linamaana a person who is blind to and has rejected the spiritual truth and godly wisdom already given to him,kwahyo matokeo yake hata ile knowledge kidogo aliyopewa juu ya Jesus will no longer be clear to him!

Mnachanganya sana maandiko ili kuSUIT your narrative of oppressing!Too sad
Asante kwa ufafanuzi wako mkuu. Hata mm walikuwa wananitishia sana hiki kifungu. Kwamba kwa kuwa Sina kitu nitaendelea kuwa fukara tu.

Kumbe kifungu kinahusu ufukara wa neno na siyo vitu!!
 
Tanzania inawafanyakazi, wakulima na wafanyabiashara wengi tu. Kwenye kila nyanja kuna wanaofanya vzuri ambao hupaswa kuigwa,kuinuliwa na hata kutazamwa kwa jicho zuri!

Kwakuwa Tanzania ni nchi huru na ambayo inajinasibu kutumia rasilimali kwa manufaa ya wote bila upendeleo na kwamba keki ya Taifa itagawanywa sawa basi kuna ulazima wa kuondoa favouritism, nepotism nk

Najiuliza mtu ambaye amefanya kazi Serikalini kwa mfano katika nafasi ya mkuu wa mkoa akapata mafao mamilioni ya pesa na baada ya kuachia ngazi akaweza kuwekeza kwenye kilimo tena cha large scale kuna sababu gani ya pekee na kubwa ya kumuonea huruma kana kwamba ili aishi vzuri arudishwe kwenye vyeo?

Kwanini vyeo utitiri vilivyopo wanapewa watu ambao tayari wameshapata mafao ya kutosha yanayowawezesha kufanya uwekezaji mwingine la hasha wanaweza kuishi bila hata kufanya kazi?Je, isingekuwa vizuri promosheni hizo wangepewa watu wanaofanya vzuri kwenye sekta za afya, elimu, kilimo nk mbona wapo wafanyakaz tunawaona wanajituma sana lakin days go by no PROMOTION?

Ok, well labda factor ni uzoefu. Najiuliza uzoefu kazi hizo hazina hadidu rejea/hazina maelekezo ya kaxi kiasi kwamba mtu hawez kujua wajibu wake? Inashangaza na inauma sana kuwa lazima nafasi flan flan ziwe za watu walewale wakati wote. Hata kama ni nafasi za upendeleo kwa ajili ya wanaccm mbona wapo wanaccm wengine wengi mbona wasipewe hao wanapewa walewale ambao tayar wameshakata slice ya mkate wao?

Kama kuna dude linalofanya vetting ya viongozi, dude hili ndio adui mkubwa wa maendeleo ya Mtz, it should be cut off! Madude haya yanayotoa ushauri kwa mamlaka za uteuzi ni janga.
UFISADI UFISADI UFISADI
 
Ndugu yangu utalalamika sana.chanzo cha matatizo yote unayoyaona msingi wake ni katiba.ndo maana ccm haitaki kufanya mabadiliko ya katiba na kama ulimsikia Paul Kimiti ITV dk 45 ndo utajua kiini chake.bila katiba usitegemee mabadiliko ya aina yoyote.
Nakubaliana na wewe
 
Binadamu hatupo sawa japo Mungu alituumba katika namna ya usawa.Tabaka la juu litaendelea kuneema,na tabaka la chini litaendelea kutaabika.
 
Ccm. Hawataki kuwapoteza vijana wake mfno ally Happ kumuweka nje ya CCM ninngumu kwani CCM inataka vijana Kama kina sabaya na ally na makonda
 
Tanzania inawafanyakazi, wakulima na wafanyabiashara wengi tu. Kwenye kila nyanja kuna wanaofanya vzuri ambao hupaswa kuigwa,kuinuliwa na hata kutazamwa kwa jicho zuri!

Kwakuwa Tanzania ni nchi huru na ambayo inajinasibu kutumia rasilimali kwa manufaa ya wote bila upendeleo na kwamba keki ya Taifa itagawanywa sawa basi kuna ulazima wa kuondoa favouritism, nepotism nk

Najiuliza mtu ambaye amefanya kazi Serikalini kwa mfano katika nafasi ya mkuu wa mkoa akapata mafao mamilioni ya pesa na baada ya kuachia ngazi akaweza kuwekeza kwenye kilimo tena cha large scale kuna sababu gani ya pekee na kubwa ya kumuonea huruma kana kwamba ili aishi vzuri arudishwe kwenye vyeo?

Kwanini vyeo utitiri vilivyopo wanapewa watu ambao tayari wameshapata mafao ya kutosha yanayowawezesha kufanya uwekezaji mwingine la hasha wanaweza kuishi bila hata kufanya kazi?Je, isingekuwa vizuri promosheni hizo wangepewa watu wanaofanya vzuri kwenye sekta za afya, elimu, kilimo nk mbona wapo wafanyakaz tunawaona wanajituma sana lakin days go by no PROMOTION?

Ok, well labda factor ni uzoefu. Najiuliza uzoefu kazi hizo hazina hadidu rejea/hazina maelekezo ya kaxi kiasi kwamba mtu hawez kujua wajibu wake? Inashangaza na inauma sana kuwa lazima nafasi flan flan ziwe za watu walewale wakati wote. Hata kama ni nafasi za upendeleo kwa ajili ya wanaccm mbona wapo wanaccm wengine wengi mbona wasipewe hao wanapewa walewale ambao tayar wameshakata slice ya mkate wao?

Kama kuna dude linalofanya vetting ya viongozi, dude hili ndio adui mkubwa wa maendeleo ya Mtz, it should be cut off! Madude haya yanayotoa ushauri kwa mamlaka za uteuzi ni janga.
Umasikini au utajiri siyo sehemu ya vetting..!!
 
Aisee. Yaani CHADEMA na ubilionea wa ruzuku?

Wakati mabosi wa CCM wanajipimia moja kwa moja toka hazina ya taifa huko BOT?
Wala usiwe na shaka. Nimemuelewa sana mleta mada, na kwa namna moja au nyingine namuunga mkono.

Kama tunakubaliana kwamba anachosema ni kuwa 'Kwanini wanawaajiri watu wenye fedha(haijalishi wamepata vipi) basi ndipo utaona mtazamo wangu unaegemea wapi. Walakin

Kama hoja inasimama ilivyo, basi atakuja kushangaa ya CHADEMA, manake tunaarifiwa kwamba Uongozi wote wa juu ni kwa ajili ya Mabilionea.

Je, hili suala litabakia kuwa ni suala la CCM pekee?
 
Tanzania inawafanyakazi, wakulima na wafanyabiashara wengi tu. Kwenye kila nyanja kuna wanaofanya vzuri ambao hupaswa kuigwa,kuinuliwa na hata kutazamwa kwa jicho zuri!

Kwakuwa Tanzania ni nchi huru na ambayo inajinasibu kutumia rasilimali kwa manufaa ya wote bila upendeleo na kwamba keki ya Taifa itagawanywa sawa basi kuna ulazima wa kuondoa favouritism, nepotism nk

Najiuliza mtu ambaye amefanya kazi Serikalini kwa mfano katika nafasi ya mkuu wa mkoa akapata mafao mamilioni ya pesa na baada ya kuachia ngazi akaweza kuwekeza kwenye kilimo tena cha large scale kuna sababu gani ya pekee na kubwa ya kumuonea huruma kana kwamba ili aishi vzuri arudishwe kwenye vyeo?

Kwanini vyeo utitiri vilivyopo wanapewa watu ambao tayari wameshapata mafao ya kutosha yanayowawezesha kufanya uwekezaji mwingine la hasha wanaweza kuishi bila hata kufanya kazi?Je, isingekuwa vizuri promosheni hizo wangepewa watu wanaofanya vzuri kwenye sekta za afya, elimu, kilimo nk mbona wapo wafanyakaz tunawaona wanajituma sana lakin days go by no PROMOTION?

Ok, well labda factor ni uzoefu. Najiuliza uzoefu kazi hizo hazina hadidu rejea/hazina maelekezo ya kaxi kiasi kwamba mtu hawez kujua wajibu wake? Inashangaza na inauma sana kuwa lazima nafasi flan flan ziwe za watu walewale wakati wote. Hata kama ni nafasi za upendeleo kwa ajili ya wanaccm mbona wapo wanaccm wengine wengi mbona wasipewe hao wanapewa walewale ambao tayar wameshakata slice ya mkate wao?

Kama kuna dude linalofanya vetting ya viongozi, dude hili ndio adui mkubwa wa maendeleo ya Mtz, it should be cut off! Madude haya yanayotoa ushauri kwa mamlaka za uteuzi ni janga.
Nchi ni yao huna cha kuwapangia
 
Back
Top Bottom