Kwanini Vyombo vya Habari vingi havifanyi kazi za kuhabarisha wananchi mambo mazuri na yenye tija kwa mwananchi na taifa kwa ujumla?

Kwanini Vyombo vya Habari vingi havifanyi kazi za kuhabarisha wananchi mambo mazuri na yenye tija kwa mwananchi na taifa kwa ujumla?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Kuna mambo mengi sana ambayo Taifa inafanya na inaendelea kufanya ikiwamo uchaguzi ujao.

Lakini sasa ukisikiliza au kutazama vyombo vingi vya habari vingi vinachochea ugomvi na kufanya vitu vya qjabu.
Cha ajabu ni kwamba hata watoto,Vijana wote wako huko tu kusikiliza na kufuatilia vitu visivyofaa ndani ya Jamii.

Vijana wengi sasa hivi hawana ajira vyombo vya habari viwaonyeshe fursa na kuwapa njia za mafanikio.

Lakini kama hivi vyombo vya habari vinasimamiwa mbona vinakiuka maadili.

Waziri Mpya naomba uanzie huku kwanza.

Hivi kweli watu waliosomea taaluma ya kazi hiyo wako nyumbani halafu watu wanaoendesha vyombo vingi wamekurupuka tu hadi wanatumia Lugha zisizofaa.

Vyombo vya habari visimamiwe vizuri.
 
Media nyingi ni takataka tu

Wao ni habari za umbea udaku miziki stori za wasani

Interview zao sasa ,anatafutwa dem mwenye kalio kubwa mdangaji anaenda kufanyiwa mahojiano

Radio sahv wanaitwa watu mule wanasutana mwanzo mwisho

Ratiba za redio sasa sahv,ni mziki udaku umbea kamari mwanzo mwishooo

Ova
 
Media nyingi ni takataka tu
Wao ni habari za umbea udaku miziki stori za wasani
Interview zao sasa ,anatafutwa dem mwenye kalio kubwa mdangaji anaenda kufanyiwa mahojiano
Radio sahv wanaitwa watu mule wanasutana mwanzo mwisho
Ratiba za redio sasa sahv,ni mziki udaku umbea kamari mwanzo mwishooo

Ova
Na wana wasikilizaji wengi hata ukiwauliza mambo ya msingi hawayajui kazi kulalamika
 
Tz hakuna vyombo vya habar tusidanganyane, Bali Kuna vituo vya wadangaji na machawa
 
Ukiamka mpaka ukienda kulala unalishwa uchafu tu....
Wajinga wanaZidi kuongezeka

Ova
 
Back
Top Bottom