Kwanini vyombo vya magharibi ikiwemo Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa wanajeshi wa M23 Tanzania? Wananufaikaje na mgogoro wa Congo?

Kwanini vyombo vya magharibi ikiwemo Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa wanajeshi wa M23 Tanzania? Wananufaikaje na mgogoro wa Congo?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kuna kelele mingi huko Congo zikilalamika Idara ya Uhamiaji Tanzania kukamata na kuzuia wanajeshi wa M23 na viongozi wao akiwemo Eric Nkuba na kuwarejesha kwenye nchi yao.

Vyombo vya habari vya Congo na Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa viongozi wao vikisema ni kinyume cha haki za binadamu. Nataka kuwauliza hayo mauaji yanayotokea COngo kwa miaka yapo kwa mujibu wa haki za binadamu? Je wanataka hao watu waje wakajifiche Tanzania kwa ajili ya kuja kutuchambulia hali yetu ya usalama?

Mimi nasema Uhamiaji msiruhusu hawa watu wakimbilie Tanzania wafungieni milango wabaki huko wapigwe na wanajeshi wetu kwa ajili ya kukomboa wananchi wasio na hatia.

Haiwezekani Wanajeshi wetu Congo wanarisk maisha yao kupambana na magaidi then magaidi wakimbie kuja kujificha Tanzania . Kuwapokea wanajeshi wanaotaka kujificha Tanzania ni kuwasaliti wanajeshi wetu waliopo Congo wakitafuta amani.

Jeshi la Uhamiaji lindeni mipaka hawa watu wasivuke kuja Tanzania. Wananchi wafichueni hawa wanajeshi wanaokuja kujificha huku kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na jeshi letu. Tanzania imekuwa mkombozi wa bara la Afrika na sasa bado tunaendelea.
Tusipokuwa serious kuwapiga hawa watu watakuja kufanya yale yaliyofanywa Kibiti.

NImeona wanaoleta propaganda wanataka kumchafua Mhe.Rais, lakini kwa hili hakuna kurudi nyuma tusimamie amani ya wenzetu. Congo ikiwa na amani hata sisi wafanyabiashara tunaopeleka mzigo huko kutoka bandari ya DAR es salaam tutafanya biashara na madereva wetu watakuwa salama.

KOngole vyombo vya dola kwa kusimamia mapambano dhidi ya waasi wanaosumbua wanajeshi wetu DRC Congo.
 
Ufaransa na Ubelgiji ni majitu yenye roho mbaya by nature...Neda Chad Afrika ya Kati huko West Africa ni masase kwa kwenda mbele...hawana utu kabisa sehemu zote walizo tawala ...Philanthropy yao ni kuvipa vikundi silaha na kuiba MADINI
 
Ufaransa na Ubelgiji ni majitu yenye roho mbaya by nature...Neda Chad Afrika ya Kati huko West Africa ni masase kwa kwenda mbele...hawana utu kabisa sehemu zote walizo tawala ...Philanthropy yao ni kuvipa vikundi silaha na kuiba MADINI
Shida ni sisi kwa nini tukubali kurubuniwa tuuane
 
Kwann wakimbilie bongo wabakie huko huko wamalizane
 
1. Uhamiaj hawana mamlaka ya kuthibitisha ugaid.

2. Tanzania kama UN member ilipaswa kutoa hifadhi kwa hao watu kama inavyofanya kwa wakimbizi wengne.

3. Kitendo cha kurudisha mkimbiz alikotoka hususan wa congo ni kinyume na makubaliano ya EAC na haki za kibinaadam.

4. Ni sahihi kwa vyombo vya habari vya congo na mataifa ya ulaya kuilaumu Tanzania kwa kuwa tz gvt imeenda kinyume na conducts of civilized states.
 
Wap
1. Uhamiaj hawana mamlaka ya kuthibitisha ugaid.

2. Tanzania kama UN member ilipaswa kutoa hifadhi kwa hao watu kama inavyofanya kwa wakimbizi wengne.

3. Kitendo cha kurudisha mkimbiz alikotoka hususan wa congo ni kinyume na makubaliano ya EAC na haki za kibinaadam.

4. Ni sahihi kwa vyombo vya habari vya congo na mataifa ya ulaya kuilaumu Tanzania kwa kuwa tz gvt imeenda kinyume na conducts of civilized states.
Wapi umesikia waliokamatwa walikuwa wakimbizi? Kwa hiyo ukifanya uhalifu automatically unakuwa mkimbizi?Basi na majambazi ya kwetu yakishafanya uhalifu yakimbilie kwa majirani kama wakimbizi tuone kama watalindwa.

Umesikia UNHCR ikisema walikuwa ni wakimbizi?
 
Ni ukiukaji wa haki za binadamu,kwa sababu wale wakumpata yule mtu,wanambandua kucha,moja baada ya nyingine.
 
Kuna kelele mingi huko Congo zikilalamika Idara ya Uhamiaji Tanzania kukamata na kuzuia wanajeshi wa M23 na viongozi wao akiwemo Eric Nkuba na kuwarejesha kwenye nchi yao.

Vyombo vya habari vya Congo na Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa viongozi wao vikisema ni kinyume cha haki za binadamu. Nataka kuwauliza hayo mauaji yanayotokea COngo kwa miaka yapo kwa mujibu wa haki za binadamu? Je wanataka hao watu waje wakajifiche Tanzania kwa ajili ya kuja kutuchambulia hali yetu ya usalama?

Mimi nasema Uhamiaji msiruhusu hawa watu wakimbilie Tanzania wafungieni milango wabaki huko wapigwe na wanajeshi wetu kwa ajili ya kukomboa wananchi wasio na hatia.

Haiwezekani Wanajeshi wetu Congo wanarisk maisha yao kupambana na magaidi then magaidi wakimbie kuja kujificha Tanzania . Kuwapokea wanajeshi wanaotaka kujificha Tanzania ni kuwasaliti wanajeshi wetu waliopo Congo wakitafuta amani.

Jeshi la Uhamiaji lindeni mipaka hawa watu wasivuke kuja Tanzania. Wananchi wafichueni hawa wanajeshi wanaokuja kujificha huku kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na jeshi letu. Tanzania imekuwa mkombozi wa bara la Afrika na sasa bado tunaendelea.
Tusipokuwa serious kuwapiga hawa watu watakuja kufanya yale yaliyofanywa Kibiti.

NImeona wanaoleta propaganda wanataka kumchafua Mhe.Rais, lakini kwa hili hakuna kurudi nyuma tusimamie amani ya wenzetu. Congo ikiwa na amani hata sisi wafanyabiashara tunaopeleka mzigo huko kutoka bandari ya DAR es salaam tutafanya biashara na madereva wetu watakuwa salama.

KOngole vyombo vya dola kwa kusimamia mapambano dhidi ya waasi wanaosumbua wanajeshi wetu DRC Congo.
Ungeweka taarifa husika juu ya swala hili, badala ya kulifanya kana kwamba wewe ndiye chanzo cha habari.

Habari yako haijitoshelezi, na inachnganya. Kwa mfano, Congo (DRC?) watalalamikia vipi kukamatwa kwa hao viongozi wa M23?

Taarifa yako ni muhimu, lakini ungeweka taarifa yenyewe kama ulivyo iuona wewe, ingetusaidia nasi tunaokusoma kuelewa ni kipi hasa unakieleza wewe.
 
Kuna kelele mingi huko Congo zikilalamika Idara ya Uhamiaji Tanzania kukamata na kuzuia wanajeshi wa M23 na viongozi wao akiwemo Eric Nkuba na kuwarejesha kwenye nchi yao.

Vyombo vya habari vya Congo na Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa viongozi wao vikisema ni kinyume cha haki za binadamu. Nataka kuwauliza hayo mauaji yanayotokea COngo kwa miaka yapo kwa mujibu wa haki za binadamu? Je wanataka hao watu waje wakajifiche Tanzania kwa ajili ya kuja kutuchambulia hali yetu ya usalama?

Mimi nasema Uhamiaji msiruhusu hawa watu wakimbilie Tanzania wafungieni milango wabaki huko wapigwe na wanajeshi wetu kwa ajili ya kukomboa wananchi wasio na hatia.

Haiwezekani Wanajeshi wetu Congo wanarisk maisha yao kupambana na magaidi then magaidi wakimbie kuja kujificha Tanzania . Kuwapokea wanajeshi wanaotaka kujificha Tanzania ni kuwasaliti wanajeshi wetu waliopo Congo wakitafuta amani.

Jeshi la Uhamiaji lindeni mipaka hawa watu wasivuke kuja Tanzania. Wananchi wafichueni hawa wanajeshi wanaokuja kujificha huku kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na jeshi letu. Tanzania imekuwa mkombozi wa bara la Afrika na sasa bado tunaendelea.
Tusipokuwa serious kuwapiga hawa watu watakuja kufanya yale yaliyofanywa Kibiti.

NImeona wanaoleta propaganda wanataka kumchafua Mhe.Rais, lakini kwa hili hakuna kurudi nyuma tusimamie amani ya wenzetu. Congo ikiwa na amani hata sisi wafanyabiashara tunaopeleka mzigo huko kutoka bandari ya DAR es salaam tutafanya biashara na madereva wetu watakuwa salama.

KOngole vyombo vya dola kwa kusimamia mapambano dhidi ya waasi wanaosumbua wanajeshi wetu DRC Congo.
Mission ya Congo iliyoongozwa na Kenya ilifadhiliwa na ufaransa, Tshisekedi na wakongo wakaikataa kwa sababu walitumia muda mwingi kupiga selfie, sasa wameenda wakaanga sumu, konki masters
 
Back
Top Bottom