AK Mastori
Member
- Jul 26, 2024
- 5
- 6
Habari wakuu. Ni swali tu nimejiuliza hili. Kuna kazi nyingi sana za waandishi ambazo zipo tu hata huku JF, tunazisoma bila ya wao kufaidika chochote. Natafuta lengo la kufanya hivo lakini kila ninalowaza halileti mantiki, lenye mantiki ni labda wanatoa sadaka kwa namna hii. Kwa wale waandishi, nina shauku ya kujua mnafaidika vipi na kutoa kazi yako bure.